Recent content by Tschaka Zulu

  1. T

    Nahitaji marafiki

    Am your friend
  2. T

    NMB: Makato mapya kwa wateja wa NMB yaja yakiwa yameongezeka mara mbili zaidi ya sasa?

    Kakope pia Bayport daaah, kopa 1100000/= unalipwa 800000, ukiwauliza unaambiwa RV imepanda cjui mara imeshuka yaani wizi mtupu. Nawapa RAI watumishi BAYPORT wamekuja kivingine
  3. T

    Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

    Acha mambo zako kijana na kudhalilisha watumishi, unadhan sisi wajinga hivyo. Nini serikali inawafanyia watumishi zaidi ya kuwaumiza tu alafu inategemea matokeo mazuri. Ni udhalilishaji kusema kuwa WATANZANIA tunategemea serikali kwa kila jambo ilihali WATANZANIA tunapambana na hali, zetu...
  4. T

    DAR: Zitto Kabwe akamatwa na Polisi kituo cha Oysterbay, ahojiwa na kuhamishiwa Kituo Kikuu cha Polisi

    Alikuwa anatafuta nini?????? It's not fair bhana, baada ya kumkamata Cyprian Musiba,,anakamatwa ZZK. Duh
  5. T

    ITV, EATV na Star Tv kutolewa kwenye king'amuzi cha StarTimes

    Mwisho gani unaoungojea, hapa ndio mwisho ushafika
  6. T

    ITV, EATV na Star Tv kutolewa kwenye king'amuzi cha StarTimes

    Yaan aseeeh ni tabu tupu, Azam hakuna kitu nako ndio hivyo tena, huu ni kweli MKAKATI ulopangwa.
  7. T

    Shaping the future of Tanzania’s governance and development: What role for the Parliament?

    Angalia,soma kisha tafsir aya ya mwisho anapohitimisha makala yake ,lipo jambo kashauri
  8. T

    Uongozi wa mkoa wa Mwanza kufungua akaunti maalumu kwaajili ya kukusanya rambi rambi. Tujiandae kutoa kwa upendo

    Haaa haaa haaa!!!! Naona tayari mafaili katika ubongo wa nyuma yakifunguka taratiiiibu,,,,tuwachangie wafiwa jamani, mzee atatoa 500,000 kwa kila mwili utakaotambuliwa. Kwa nn basi ww nami tusitoe jaman
  9. T

    Kuanzia Leo, nampa Tuzo ya Heshima Pascal Mayalla

    Pascal Mayala anastahili heshima hiyo, swali km lile tena ndani ya nyumba ya mfalme duuh
Back
Top Bottom