Acha mambo zako kijana na kudhalilisha watumishi, unadhan sisi wajinga hivyo.
Nini serikali inawafanyia watumishi zaidi ya kuwaumiza tu alafu inategemea matokeo mazuri.
Ni udhalilishaji kusema kuwa WATANZANIA tunategemea serikali kwa kila jambo ilihali WATANZANIA tunapambana na hali, zetu...
Haaa haaa haaa!!!! Naona tayari mafaili katika ubongo wa nyuma yakifunguka taratiiiibu,,,,tuwachangie wafiwa jamani, mzee atatoa 500,000 kwa kila mwili utakaotambuliwa.
Kwa nn basi ww nami tusitoe jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.