Nahitaji marafiki

Njoo
Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.

PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
 
Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.

PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
Your welcome friend, am here
 
Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.

PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
Nipm rafiki yangu,
Nimeshindwa kukupm.
 
Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.

PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
Whenever you need me
Whenever want me,
You know you can call me, I'll be there shortly
Don't care what your friends say, 'cause they don't know me
I can be your best friend, and you be my homie.
You're welcome.
 
Sijui nishachelewa Sara? Au bado nafasi marafiki zipo wazi?
 
Hahaha
Dah! Yani wewe huna gharama... Wewe ndio unafaa kutolewa outing!
Niliwahi kuwatoa wadada flani outing, wacha waanze kuagiza mavinywaji ya gharama! Zile chupa za elfu hamsini, mwingine ya laki! Nikaenda chooni bwana. Si wakajua nakimbia bili. Kurudi nakuta wameyarudisha na wameagiza Soda. Nikasema hapa sasa tutakwenda sawa!
 
Wiz khalifa
Whenever you need me
Whenever want me,
You know you can call me, I'll be there shortly
Don't care what your friends say, 'cause they don't know me
I can be your best friend, and you be my homie.
You're welcome.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom