Una chuki zako binafsi juu ya uislam. Matokeo ya kasumba na matangopori uliolishwa kanisani.
Ukristo unafundisha..."waache wafu wazikane" Mathayo 8 21-22.. hii ni baada ya Mwanafunzi Kuomba ruhusa kuhudhuria mazishi ya baba yake aliyekufa wa dini nyingine. Alinyimwa ruhusa kwa kauli hiyo hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.