Recent content by Truth Matters

  1. T

    Kwanini mapepo, majini, wachawi na roho wabaya wote humwogopa YESU KRISTO

    Achana na mapepo hayo yasioonekana, tuanze na vibaka wa mtaani kwanza tukemee wote waache, kisha washerati na wazinzi, kisha umasikini na magonjwa. Unakoromeanaje na pepo ambaye hatumuoni?
  2. T

    Familia ya Magufuli itaitazama vipi familia ya Kikwete, Membe & Rostam?

    Polepole sio mtu wa kumwamini ni kama mke aliyeachwa (Zaylissa) lazima akuchafue mme ( mara jogoo hapandi mtungi na uharo kama huo)! Nitamuamini akiandika MCHONGO WA KUMUUA LISSU na wahusika wake! Hiyo ndiyo litmus test yake!
  3. T

    Natafuta makanisa ya zamani katika jimbo la Arusha

    Wewe ya kazi gani? Sali popote tu!
  4. T

    Mambo 10 Niliyoyaona Tanzania Ikiondolewa na Wydad, RS Berkane na Raja Casablanca michuano ya CHAN

    Kocha Morocco alichagua kikosi finyu, as if anenda kucheza mechi moja! Unawaachaje, Yaya zaid, Mutasingwa, Edmund John, Chikola, Valentino mashaka..
  5. T

    Ujenzi huu unafaa?

    Unajenga nyumba au ngome?
  6. T

    GE2025 Polepole: Tunaendaje kwenye Uchaguzi wakati Mpinzani wa Kweli yuko Gerezani?

    Gas imeanza kuisha pole pole! Awahi tu kwa Pastor Tony akapuliziwe! Mpinzani wa kweli ni nani? Tusimamishe uchaguzi wa watu milioni 60 kisa kuna matakwa ya kikundi cha watu 1000? Wtf!
  7. T

    Anaitwa Mohamed Yorobo Bangoura

    Simba haina pesa mwaka huu! Labda aletwe kwa mkopo!
  8. T

    Ipe neno hii picha 😂😂😂😂

    Watu hawatafuti tena ufalme wa mbinguni! Bali hata gas waambulie hapa hapa duniani!
  9. T

    KERO Kuna kelele katika Msikiti wa Kunduchi Beach

    Mkimaliza huko mje huku kwangu nimezungukwa na makanisa matatu haya ya reja reja watu hawazidi watano! Lakini kuanzia Ijumaa ni mkesha kelele za muziki, maombi ya kufokafoka! Sasa zidisha mara 3!
Back
Top Bottom