Kamanda anaidhalilisha intelijensia yake. Wanasema sisi kama raia tunapaswa tushirikiane na polisi ktk kutoa taarifa hasa za ualifu. Kinachoonekana hapo ni sawa na uhalifu ambao unaweza hatarisha maisha ya watu na mali zao. Na lengo la mtoa habari ni kufikisha habari ili ufafanuzi upatikane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.