Recent content by true movie

  1. true movie

    Kigamboni kwa Chagani (kwa machangudoa) kunasikitisha

    Haaaaaa usivue viatu hapa si kwako we chomeka uondoke
  2. true movie

    Benki gani ni nzuri kwa kufungua akaunti ya mtoto?

    Exim bank is the best wana kitu cha nyota account kwa mtoto ni safi sana !! Interest ya 7 % kwa kila kiasi wanachokikuta kwenye account mwisho wa mwezi !! Unaweza ju withdraw mara tatu kwa mwaka tofauti na benk zingine withdraw ni mara 2 !! Kiwango cha kufungulia ni buku 10 tu .. Karibu pale...
  3. true movie

    Hakuna Maji Sehemu nyingi za Dar es Salaam

    Haaa leo nimeingia pale mlimani city ni shida chooni hakufai kabisa kisa maji hamna ..nina rafiki yangu mmoja anafanya kazi kwenye ofisi moja pale ndani mlimani city nikampigia ile nitumie vyoo vya ofisi yao nako balaaa yaani du hii nchi ni majanga
  4. true movie

    Shahada zenye soko na zisizo na soko kwa sasa hapa Tanzania

    Yaani kila mshikaji unayempigia simu kumuitia shavu anakuambia kaka mi fresh niko na kampuni flani yaani da hadi raha unabaki kuangalia wazee wa sociology wanavyo haa na bahasha za khaki mjini !!
  5. true movie

    Shahada zenye soko na zisizo na soko kwa sasa hapa Tanzania

    Kuna kozi hapa tanzania za marine zinatolewa pale dar es salaam maritime institute ...ni degree ya marine transportation combined with certificate of competence class 3 na degree ya marine engineering mi ni miongoni mwa graduate !! Hamna hata mmoja tuliye graduate nae asiyepata kazi ! Kwa kweli...
  6. true movie

    Jokate: Mimi sio malaya

    Wekeni listi ya wanaume walikula papuchi ya jokate
  7. true movie

    Diamond on sporah show

    Leo no kithungu
  8. true movie

    Serengeti fiesta 2014 special thread

    Clouds wenyewe washamuona dogo si chochote wanataka kumrudisha mtu wetu tunayemtaka watanzania !! COME ON ALLY K FOR REAL ...THE BEST VOCALIST OF ALL TIME !!! TEAM DANGOTE WAPI !!! WATU KIBA KIBA KIBA KIBA KIBAAAAAAAA NDO TUSHAANZA SASA !! THE KING IS BACK
  9. true movie

    Serengeti fiesta 2014 special thread

    Wajifunze kitu ma hip hop uchwara wa bongo !!
  10. true movie

    Serengeti fiesta 2014 special thread

    Ishu si kujumuika nao !! Unaona t.i anavyocheza na jukwaa vuta picha ingekua ni usa haoo mashabiki but ameweza kuwatingisha mashabiki !! Tatizo la weusi jukwaa wanalibana wanaganda sehemu moja
  11. true movie

    Serengeti fiesta 2014 special thread

    Si mmeona mwanyamwezi no alcohol, no what na kazi tu !!
  12. true movie

    Serengeti fiesta 2014 special thread

    Kuna time nikki alichemka pumzi ilikata ! Jamaa anakamua mbaya ..... GO T.I NA KITU CHA NO MEDIOCRE HATARIIIII YAANI NI SHIDAAAAAAAAA
  13. true movie

    Serengeti fiesta 2014 special thread

    Mnyamwezi mnyamwezi tu !!! T.i ni noma nimekubali, he can rap, dance na swag zote pumzi ya kutosha nyie weusi si mmeona hip hop hiyo !!
  14. true movie

    Matumizi ya ugoro yamezidi kwa sasa

    Kama kichwa cha habari kilivyo ..kwa sasa kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kutumia hii kitu ugoro, nina maswali kwa wanaJF. 1.nataka kufahamu madhara ya hii kitu maana nahisi vijana wanahangamia 2. Mbona serikali haipigi marufuku hii kitu na kukamata wamasai wote wanaofanya hii biashara coz...
  15. true movie

    Aina tofauti za Wanawake

    Mwalimu angekuwepo jamii forum ingekua imeshafungiwa !! R.i.p baba wa taifa .....yanayojiri nyuma yako huku vijana wanawaza ngono tu muda wote
Back
Top Bottom