Naomba Anayeelewa/Ufahamu wa kutosha Ubora na Ubaya wa kampuni za hapa Tanzania za kubeti kampuni gani inaitoa huduma bora. ubaya simaanishi kile wanachofanya sio kitu kizuri nahitaji mchanganuo PROS na CONS basi na sio kingine kama huna haina haja ya kuchambua nje ya Cons na Pros kampuni gani...
Huyu mwanaMama inabidi aweMjanja wa Akili...kipimo cha kwanza cha mwanamke Mzuri ni 'AKILI' hvyo vyote(uzuri wa sura,tabia,hekima,busara) nimatokeo ya akili? Sasa hapa inabidi amuulize mumewe anampendea nn? na anajivunia ni kutoka kwake? Akijibu jibu lolote? Amuulize tena Uzuri wa wanawake wote...
UNACHAKACHUA MORDEM YA AIRTEL ILI UTUMIE SIMCARD(MTANDAO) GANI YENYE KUZIDI SPEED YA AIRTEL?
UNAAMBIWA SASA HIVI AIRTEL SPEED NI 3.75G...Wewe unachakachua utumie Zantel/TIGO/VODA ambayo hata 3G yenyewe ni KWIKWI
NI UTAAHIRA AU NDIO UJANJA! WA KUJUA KUCHAKACHUA!!!!!!
SWALI: NI MTANDAO GANI BEI ZA...
TUSIWE WAVIVU KIHIVYO KUNA VITU VYA KUOMBA MSAADA...HIVI "GOOGLE" MNAITUMIA KWELI AU HAMJUI KAZI YAKE USIMPE MTU SAMAKI MFUNDISHE KUVUA SAMAKI....NDIO MANA HATA RAISI WENU NI OMBAOMBA(MATONYA) BONGO JINGA SANA.....HUYO JAMAA ANGEPEWA LINK YENYE ARTICLE TUUUU!
Difference Between HTTP and...
Ukifanya kitu kimoja tu!!! kwa muda wa 10 decades lazima uwe kama kichaaaaaa.
Messi si mzima yuleee ameanza soka tokea utotoni japo pia hata wengine pia wameanza utotoni kama yeye but Messi IZ THE ILLEST EVER SEEN B4!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.