Recent content by triumvirate

  1. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Nyama choma yapigwa marufuku UDSM

    Hilo tangazo lingetoka November 5, 2015 hadi 17 march 2021 ungeskia ni maelekezo toka juu...
  2. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Social distancing kwenye mabasi irudi, RC Makalla tusaidie

    "Yuko sahihi mabasi social distancing, masoko yafungwe, michezo isimame, na ikipendeza mamlaka ka lokudown ka miezi mitatu na wiki 4 itafaa kudhibiti hili. Kama Rwanda, Uganda, Kenya na wengine wanafanya sisi ni nani tusifanye?" Alisikika brazaj akisema
  3. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Mbunge Chaurembo ataka kupitiwa upya uamuzi wa Jiji la Dar kuvunjwa bila vikao vya madiwani

    Wewe ndo ujifunze hili "Reforms na reorganization huja kwa taswira tofauti". Mkapa aliamua reforms zake na Magu akaamua za kwake. Kila mmoja kwa namna alivoona inafaa. Na Samia akiamua atafanya za kwake kwa sababu serikali kuu iko juu ya za mitaa.
  4. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Mbunge Chaurembo ataka kupitiwa upya uamuzi wa Jiji la Dar kuvunjwa bila vikao vya madiwani

    Nyerere yeye alizifuta kabisa halmashauri za nchi nzima na kuzirudisha tena mwaka 1982...humu mmejaa watoto kumbe msojua historia na nguvu ya kimahusiano baina ya serikali kuu na serikali za mitaa
  5. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Mbunge Chaurembo ataka kupitiwa upya uamuzi wa Jiji la Dar kuvunjwa bila vikao vya madiwani

    Lilipovunjwa na Mkapa na kuanzishwa Tume ya Jiji madiwani walishirikishwa? Kama hana uelewa wa nguvu na mahusiano ya kisheria baina ya serikali kuu na serikali za mitaa anatakiwa akajifunze hilo kwa kina
  6. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Nini matumizi ya Maikrofoni nyingi kwenye kutoa hotuba za viongozi?

    Huoni kuwa hapo ni UN general assembly? Waandishi hawawezi kupeleka mic zao. Ni sawa na bungeni kwetu ambapo kuna mfumo uliotayari ambao huo ndio utafeed vyombo vingine vya habari
  7. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya waanza kampeni ya kumsafisha Hayati Magufuli

    Kama masikhara vile Magufuli kaingia level za Nyerere...mawazo chanya huishi miaka dahali.
  8. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Misafara ya viongozi wa Serikali ni manyanyaso kwa watumia barabara

    Hahaha hahahaa😂😂
  9. triumvirate

    JamiiForums Tanzania G Malisa: Kamati Kuu ya CCM imewavua nyadhifa zao ndani ya chama viongozi wa UVCCM waliokubali teuzi mpya

    Kwa hii thinking ya Malisa hua nashangaa anapowekwa kwenye daraja la juu la "wenye akili kubwa " kuliko kina Nick wa pili, Jokate nk kwamba yeye alipaswa zaidi kuwa DC kwa kuwa yuko juu yao. Katika hali ya kawaida unapoteuliwa na mwenyekiti wako kwenda kutumika sehemu nyingine utapinga vipi...
  10. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Bila Barakoa, Muhimbili huingii kuanzia leo. Msindikizaji mmoja tu

    KakaJ uliagiza kontena la barakoa nini? Sio kwa uhamasishaji huu. Tutavaa tu tukienda hapo hakuna namna ni kutii sheria bila shurti
  11. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya: Heri Rais Samia akaruhusu mchakato, asisubiri mashinikizo

    Barakoa mlililia akawapa..hii nyingine sahauni hadi mtakapokuwa nanyi wendazenu
  12. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awaapisha Balozi Batilda kuwa RC Tabora na Zuwena Omari kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga

    Rejea msemo huu...unaweza lazimisha mpeleka ng'ombe mtoni ila kunywa maji inabaki kuwa hiari ya ng'ombe.
  13. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awaapisha Balozi Batilda kuwa RC Tabora na Zuwena Omari kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga

    Kwamba utamaduni wa barakoa kwetu haujakomaa...or rather watu hawazitaki
  14. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awaapisha Balozi Batilda kuwa RC Tabora na Zuwena Omari kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga

    Unaweza mpeleka ng'ombe mtoni ila huwezi mlazimisha ng'ombe kunywa maji. Watu wanajitambua
  15. triumvirate

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awaapisha Balozi Batilda kuwa RC Tabora na Zuwena Omari kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga

    Inakupa faraja? Wakati uhalisia wa mtaani ni tofauti kabisa. Pita hospital yoyoted dsm niambie watu wanofika hapo kama wanavaa barakoa..hapo sijaongelea vyombo vya usafiri, taasisi za elimu, viwanja vya michezo, masoko na nk
Back
Top Bottom