w
Ndugu kama hauna elimu ya bank uliza usikimbilie kusema wezi,ukiambiwa thibitisha wezi wao utaweza.let urge proffessional wise sio kwa mihemko tu,pia usipende potosha watu
ua
ebu toa mfano wa atm za wap?katika bank ambayo huku jf hailalamikiwi issue ya atm ni Nmb,let b fair kwa issue ya mtandao ilikua zaman miaka mitatu nyuma kwa sasa hapana,naongea hvyo kwasabau nazunguka sana Tanzania ktk biashaar zangu na kutumia Nmb kukutana na issue ya mtandao kusumbua ktk...
hapana sio mfanyakaz ni mteja wa nmb wa muda mrefu san tangu 2000.naijua bank hii sana kwan ndio primary banker wangu
naomba niende general kwa ajili ya kuprotect bank tajwa zingine ikiwa nimesha declare mie ni mteja wa nmb,tofaut kubwa ni katika huduma kwa mteja,upatikanaji wa huduma kwa...
bank rafiki kwa wote na maskin inamjali mteja ni Nmb,kuna akaunti wanazo ambazo kwa kadri ya mahitaji yake zitamfaa,kama ulivyosema kwa maskini wana akaunti inaitwa chapchap inafunguliwa kwa kua na kitambulisho halali tu na unapata kadi ya atm hapo hapo,haina makato yoyote na unapata faida kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.