Recent content by Trichuris Trichura

  1. Trichuris Trichura

    Biashara ya nguo kwa mtaji wa Tsh. milioni 1

    Mkuu samahani nimehangaika kukuchek Pm bila mafanikio Nakutana na hii notification msaada plz kama hautojali naomba uni pm ww ili nipate access ya kuwasiliana na ww
  2. Trichuris Trichura

    Fatuma Karume aanza ‘kushughulikiwa’

    Alibomoa nani?? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Trichuris Trichura

    Askofu Shao amgeuka Magufuli, asema mizengwe kwenye uchaguzi mdogo ni ishara serikali haielewi maana ya demokrasia

    Siasa ni system inayotokana na maisha ya binadamu, you can't escape it thts why kila uendapo unakuta inajadiliwa kama ambavyo huwezi kukimbia kivuli chako
  4. Trichuris Trichura

    Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya azidiwa na kukimbizwa hospitalini baada ya kuwekwa rumande

    Kwa sheria ipi na ya mwaka gani ndani ya katiba ya tanzania? Hii tabia ya kujiamulia kinachokuja kichwani na kutaka kiwe sheria imetoka wapi waliomtangulia hawakua wajinga kuacha kifanyike hicho anachohangaika nacho kukizuia bila any supportive law Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Trichuris Trichura

    Nilitegemea aseme medical attendant asifanye kazi ya Nurse na si kumzuia Nurse kuuza dawa

    Ha ha haaaa nimekikumbuka kipengere cha pharmacogenomics....Tanzania bwana ni full imbombo ngafu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Trichuris Trichura

    Jipu kwenye labia minora

    Na kama umipitia vzr maelezo yangu sikukataa kwamba asitumie ceftriaxone ila nilichomsisitiza ni kwamba asitumie dawa flani hata kama anajua inatibu nn bila kufanya comfirmation ya lab results.... Mytake: Unaweza kujikuta unatumia dawa mwilini mwako ambayo ulishakua resistant nayo bila ww kujua...
  7. Trichuris Trichura

    Jipu kwenye labia minora

    Ni kweli anaweza kutumia broadspectrum kama ceftriaxone kwa kua ina cover all gram positive and gram negative bacteria lakini pia kuna a great emarging of drug resistance predominantly 3rd generation cefarosporins akiwemo E.coli thts why nilisuggest afanye culture kwenye hospital kubwa yenye...
  8. Trichuris Trichura

    Jipu kwenye labia minora

    Hapo atakua anabahatisha kutibu causative organism asiemjua its better akaenda hospitali kubwa wanayofanya culture and sensitivity akajua ni mdudu gani amesababisha hiyo hali na dawa zipi ni sensitive, intermediate or resistant against huyo organism alie sababisha hilo tatizo Kutumia hizi...
  9. Trichuris Trichura

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Hajachelewa diploma deadline ya kuapply ni 20.08.2017 mkuu Post sent using JamiiForums mobile app
  10. Trichuris Trichura

    Rais Magufuli arejesha heshima ya nchi na utu wa Mtanzania!

    Kwa ulivyoanza tu tayari umekuja na comment ya kikada hatuwezi elewana....ila shida ipo kwa mkulu kuendesha kitongoji kwa visasi kwa aliowakuta madon thts why nikatamani mfumo wa wamarekani tofauti na cc kiranja anakua kapuku akiingia madarakani anaona matajiri wote ni maadui kwake Post sent...
  11. Trichuris Trichura

    Rais Magufuli arejesha heshima ya nchi na utu wa Mtanzania!

    Wamarekani wana akili sana ile principle yao ya mgombea lazima awe na harufu ya utajiri flani ndio agombee hawa viongozi wetu maskini wakiingia wanawaza kuwakomoa wenye nazo ni upuuzi tu ndio yanayotutesa hadi sasa full visasi then wanajificha kwenye kivuli cha uzalendo shubamiiiiti zao Post...
Back
Top Bottom