Uncle Araali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 944
- 1,256
Mnaokotaokota vineno badala ya kujenga ofisi za chama kila sehemu.Siasa za matukio.
Mt
Mtanukuu sana kwenye keyboard,keyboard warriors!!
Mmejaa mihasira utafikiri ikulu mnaenda kupigana vita.Kwa siasa za matukio hamtafua dafu.Bahati mbaya hamuambiliki.Shauri yenu.Huna hoja sasa umebaki kutoa povu tu na kwa akili yako fupi unadhani tuko kwenye keyboard tu!!! Una akili za kushikiwa kweli weye. Kakojoe ukalale ZWAZWA weye!
Hili kundi la mafisadi limevimba kwa hasira,na baaado.Mpaka mnyooke muache dhuluma.Mmejaa mihasira utafikiri ikulu mnaenda kupigana vita.Kwa siasa za matukio hamtafua dafu.Bahati mbaya hamuambiliki.Shauri yenu.
Mmejaa mihasira utafikiri ikulu mnaenda kupigana vita.Kwa siasa za matukio hamtafua dafu.Bahati mbaya hamuambiliki.Shauri yenu.
Hili kundi la mafisadi limevimba kwa hasira,na baaado.Mpaka mnyooke muache dhuluma.
Haappy new year brother...Una akili mbovu kweli wewe eti clip za kuingia. Chadema hakina sera lakini uchaguzi huru na wa haki wa kusimamiwa na Tume huru ya uchaguzi mnahofia kwa kujua kwamba mtafanywa vibaya. Uchaguzi wa Madiwani shurti kupora ushindi kwa marungu mapanga visu na bunduki. Sasa sijui ni nani asiye na sera hapa.
Askofu Kakobe hayo madhambi ya huyo mtenda maovu na mvaa hirizi aliyaota wewe punguani!?
Kayajua hayo maovu ya huyo uchwara kutokana na Chadema kuyaanika hadharani. Acha ujuha.
Nimekwambia Akili zako finyu mwisho wake lumumba si humu, humu tutakuchapa za uso tu.
Duuh! Watu wanampa za uso tuu.