Jipu kwenye labia minora

Damu huchafuliwa na nini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
sumu mbalimbali tunazokula kila siku. kumbuka vyakula vyoote vya viwandani, kuanzia chumvi, sukari, mafuta ya kupikia, masufuria, etc anything unachokula kitokacho kiwandani kunakuwa na preservatives ambazo kuna side effects. soda, bia everything, lazima waweke madawa kidogo visiharibike. njoo kwenye mboga za majani wanazoweka mbolea na dawa, nyanya wanazopiga dawa siku hata mbili kabla ya kuchuma, mahindi na mchele wanaoweka mbolea etc. sumu everywhere, hivyo yatupasa kunywa maji sana na kufanya mazoezi ili kufanya emission ya uchafu mwingi sana ulioko mwilini. wakati mwignine mwili huwa unakuwa sensitive hayo mauchafu yanakusanywa eneo moja na linatokea jipu au upele. ila in the long ran, inakuwaga cansa. ndo maan awazungu wengi wana kansa kwasababu kila wanachokula ni kiwandani. hata hayo maziwa mnakunywa ng'ombe anayekamuliwa analishwa madawa everyday na yanakuwa mle kwenye maziwa, pia makuku hayo mnayokula yanalishwa madawa na ninyi pia mnakula hayo madawa bado yanakuwepo kwenye damu ya wanyama hao. ndo maana mimi sio msabato lakini huwa na admire heshima yao kwa kitu kinachoingia mdomoni...na wameweka hiyo kama ibada ili usiharibu mwili/hekalu.
 
Pitia DUTA ya gynecology, hapo tatzo ni bartholin abscess, mkuu aliesuggest iv cefriaxone yuko sahihi, kuna literature zipo zinaongelea SITZ bath katika kupunguza pain na uvimbe, stds bacteria kama chylamydia na neisseria G zinasababisha hyo kitu na E.coli strong drug like cefriaxone inatumika pia, over.
Na kama umipitia vzr maelezo yangu sikukataa kwamba asitumie ceftriaxone ila nilichomsisitiza ni kwamba asitumie dawa flani hata kama anajua inatibu nn bila kufanya comfirmation ya lab results....

Mytake: Unaweza kujikuta unatumia dawa mwilini mwako ambayo ulishakua resistant nayo bila ww kujua kama unavyojua bacteria wana njia zao za kuescape dawa ikiwemo gene transformation wadudu washenzi sana wale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana jamvi nimekua nikisumbuliwa na jipu kwenye Right Labia Minora nimetumia Antibiotics lakini baada ya kupona nakaa muda fulani linarudi tena mahali hapo hapo mara nyingi nakwenda kupasuliwa hospitalini lakini linarudi tena msaada wenu tafadhali


Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Meza vidonge vya fluconazole 150mg kimoja kila siku kwa siku 14 pamoja na hiyo sindano ya ceftriaxone uke utatulia tuli. Baada ya hapo usiruhusu watu walambe uke wako tena au kuosha kwa kutumia madawa makali au sabuni
 
sumu mbalimbali tunazokula kila siku. kumbuka vyakula vyoote vya viwandani, kuanzia chumvi, sukari, mafuta ya kupikia, masufuria, etc anything unachokula kitokacho kiwandani kunakuwa na preservatives ambazo kuna side effects. soda, bia everything, lazima waweke madawa kidogo visiharibike. njoo kwenye mboga za majani wanazoweka mbolea na dawa, nyanya wanazopiga dawa siku hata mbili kabla ya kuchuma, mahindi na mchele wanaoweka mbolea etc. sumu everywhere, hivyo yatupasa kunywa maji sana na kufanya mazoezi ili kufanya emission ya uchafu mwingi sana ulioko mwilini. wakati mwignine mwili huwa unakuwa sensitive hayo mauchafu yanakusanywa eneo moja na linatokea jipu au upele. ila in the long ran, inakuwaga cansa. ndo maan awazungu wengi wana kansa kwasababu kila wanachokula ni kiwandani. hata hayo maziwa mnakunywa ng'ombe anayekamuliwa analishwa madawa everyday na yanakuwa mle kwenye maziwa, pia makuku hayo mnayokula yanalishwa madawa na ninyi pia mnakula hayo madawa bado yanakuwepo kwenye damu ya wanyama hao. ndo maana mimi sio msabato lakini huwa na admire heshima yao kwa kitu kinachoingia mdomoni...na wameweka hiyo kama ibada ili usiharibu mwili/hekalu.
Umeongea vyema mkuu....asante kwa elimu nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kama umipitia vzr maelezo yangu sikukataa kwamba asitumie ceftriaxone ila nilichomsisitiza ni kwamba asitumie dawa flani hata kama anajua inatibu nn bila kufanya comfirmation ya lab results....

Mytake: Unaweza kujikuta unatumia dawa mwilini mwako ambayo ulishakua resistant nayo bila ww kujua kama unavyojua bacteria wana njia zao za kuescape dawa ikiwemo gene transformation wadudu washenzi sana wale.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana
Nitafanya uchunguzi wa kina kwa hospitali zinazoeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifikiri mimi nina Matatizo kumbe kuna wenye mazito zaidi yangu.Pole sana.Fanya kipimo cha kansa pia
 
Habari zenu wana jamvi nimekua nikisumbuliwa na jipu kwenye Right Labia Minora nimetumia Antibiotics lakini baada ya kupona nakaa muda fulani linarudi tena mahali hapo hapo mara nyingi nakwenda kupasuliwa hospitalini lakini linarudi tena msaada wenu tafadhali


Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzake Labia Minora yeye yupo poa?
 
Yaaaan cyo kijipu ni mjipu mkubwa wa maana .....cwez hata kutembea

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo condition inaitwa Batholin's abscess ni aina ya jipu linalotokana na kuziba kwa mirija inayoitwa Batholin's ducts kutoka kwenye Batholin's glands ambayo kazi yake ni lub vagina hii mirija ikiziba inasababisha maambukizi na baadae inatokea hilo jipu vilevile kuziba kwa Hiyo mirija inawezekana source ikawa infection zikiwemo STIs Tiba permanent ni oparesheni ndogo ambayo Hiyo gland inafunguliwa na inaachwa wazi ili ipone kutoka ndani procedure inaitwa "Marsupialization" otherwise wakitumbua kawaida litarudi tena hata kama utameza Antibiotics ndoo nzima! kama hautajali nenda hapo General waone ma Gynaecologists watakutengeneza na utasahau!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo condition inaitwa Batholin's abscess ni aina ya jipu linalotokana na kuziba kwa mirija inayoitwa Batholin's ducts kutoka kwenye Batholin's glands ambayo kazi yake ni lub vagina hii mirija ikiziba inasababisha maambukizi na baadae inatokea hilo jipu vilevile kuziba kwa Hiyo mirija inawezekana source ikawa infection zikiwemo STIs Tiba permanent ni oparesheni ndogo ambayo Hiyo gland inafunguliwa na inaachwa wazi ili ipone kutoka ndani procedure inaitwa "Marsupialization" otherwise wakitumbua kawaida litarudi tena hata kama utameza Antibiotics ndoo nzima! kama hautajali nenda hapo General waone ma Gynaecologists watakutengeneza na utasahau!

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa ushauri.........nitafanya hvyo kabla halijapasuka lenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina katabia ka kuosha uke na sabuni hiyo inaleta madhara gani boss?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiosha uke kwa sababuni unaharibu mazingira (ecosystem) ya ukeni ambayo yanalinda ngozi ya huko dhidi ya michubuko, bacteria wabaya na fungus (candida). Michubuko yoyote ya huko na upungufu mkubwa wa bacteria enyeji na rafiki (normal flora) wa ukeni utapelekea kupunguza kinga ya ukeni dhidi ya kupata fangasi na kuota majipu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom