Hivii..Nikiwa kwenye huo mwili watu wengne wanaweza kuniona?Vp kuhusu pepo au wachawi hawawez kunidhuru njian na ikitokea nmepotea huko nlipoenda kushangaa itakuaje nkiamshwa nisiamke je kuna mvutano kati ya miili utaniita? Na ni vyema kufanya muda gani ni usiku tu au hata mchana ni byeee?Pia...
Ndugu Deception mimi bado sijaelewa kama AIDS haiambukizwi kwa SEX inakuwaje tunaona mtu mwenye virusi akifanya ngono na mzima baada ya muda nae anaugua na kama alikua na msururu unakuta karibu wote baada ya muda wanaanza kuumwa tatizo inakua nini hapo?
Kwani ww huna kwako?Cku nyngne mwambie aje kwako kaa hata mwezi usiende.. sa watu mnaonana wikend tu afu ufike kazi kibao mambo ya nanihii..mtafanya saa ngapi akha!
Kila ukitoka kazini kumuhadithia mkeo jinsi wafanyakaz wenzio walivokuboa na kumponda kila mwnaume aliewazungka kumbe una wivu unaogopa watamtongza mkeo so unajiham ili asiwakubali..Mwanaume kujiamin bwana alaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.