strong gal
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 271
- 214
- Thread starter
- #21
Hii sredi watu wanachangia point tu ngoja mi nije na pointless.
Wa typ yako hua hawakosekani hapa jf.ila nimeomba usiye na point upite myee
Hii sredi watu wanachangia point tu ngoja mi nije na pointless.
Hii sredi watu wanachangia point tu ngoja mi nije na pointless.
Mara nyingi tendo likiisha ndio majuto huanza...
Kipi hicho tushirikishe ulichojifunza
Cheating mbaya.full regreat;kujilaumu nk! Lakini in a week interval unarudi mchepuko coz wanajua unachotaka na wanakupa zaidi ya mahitaji! All in all we regreat much but handleling ya mchepuko balaa,they know manjonjo!zaidi ya hapo hakuna zaidi ya hasara za kiuchumi,kijamii,kifamilia nk!vote against michepuko
HISIA UPATAZO NI HURUMA KWA MKE&HISIA ZA MAKOSA & WASIWASI, NA KUTOJIAMINI HAPO NYUMBANI
Nilichogundua mimi ni kwamba hakuna kitu kinachokifu/ kinachokinaisha mapema kama sex especially kwa wanaume. Yaani mwanamke ukishaishi nae zaidi ya miezi sita, msha sex zaidi ya mara 100, staili zote msharudia rudia hadi mmechoka, ushamuona akiwa uchi hadi akivua nguo unaona kama kitu cha kawaida tuu.. hapo ndio unapoanza kutamani ungepata kitu cha tofauti kidoogo..
Wanaume wengi huwa tunachepuka hata kama hatuna matatizo yoyote na wake zetu! Pia ni rahisi kukuta mwanaume ana mke mzuri balaa ila anachepuka na demu wa kawaida kabisa.. mradi tuu apate ladha tofauti, harufu tofauti, hata vile vimiguno tuu viwe tofauti na alivyozoea..! Hii haimaanishi kwamba hampendi mkewe la hasha..
Wa typ yako hua hawakosekani hapa jf.ila nimeomba usiye na point upite myee
Kipi hicho tushirikishe ulichojifunza
Hapo kichwa cha chini kikianza kufanya kazi, cha juu kinaasimama
Hapa hakuna anayejustify ila tunaeleza hali halisi, mwanaume kuchepuka hajaanza leo, lakin katika ukweli wa mambo ukiona mwanaume ameacha familia kwa sababu ya mchepuko ujue huyo mchepuko kamuendea kwa mganga ili amteke moja kwa moja, na kama wewe ni mchepuko unatoka na mume wa mtu jaribu kumponda mke wake mkiwa naye uone reaction yake baada ya hapo jiulize mwanaume anafuata nini kwa mchepuko kama mapenzi yako kwa mke ulete jibu hapa,kuwa mahusiano ni complicated na wanaume hujitetea sana na kujustify kuchepuka
Cheating mbaya.full regreat;kujilaumu nk! Lakini in a week interval unarudi mchepuko coz wanajua unachotaka na wanakupa zaidi ya mahitaji! All in all we regreat much but handleling ya mchepuko balaa,they know manjonjo!zaidi ya hapo hakuna zaidi ya hasara za kiuchumi,kijamii,kifamilia nk!vote against michepuko
HISIA UPATAZO NI HURUMA KWA MKE&HISIA ZA MAKOSA & WASIWASI, NA KUTOJIAMINI HAPO NYUMBANI
Na mwanaume kuwa na wake wengi sio ajabu ila Mke na waume wengi....Naamini mleta mada unajua kuwa kuna tofauti kubwa kati ya mtu Mke na mtu Mme linapokuja swala la mapenzi. Wanaume wengi tumecheat mara nyingi bila kubadilika kitabia na kimwenendo..tena wengine na mtu huyo huyo kwa muda mrefu. Ila Mwnanmke akicheat na kukolezwa huko nje na hisia zitahamia huko huko. Inawezekana hata huyo Mchumba/Mpenzi wako anacheat ila huwezi kujuaKwenye.suala la sex.me na ke wanamtazamo tofauti sanaaaa..sanaa.na itakua hvyo daima.ndo maana binti wa shule akipata mimba anaonekana muhuni.ila alompa mimba..aaah ni kidume
Mwanaume ni tofauti na mwanamke, mwanamke akichepuka ujue upendo umehama maana kwa mwanamke kufanya mapenzi kunaambata na hisia za moyo, mwanamke hawezi kufanya mapenz kama hajampenda mtu tofauti na mwanaume akishaona maungo ya ndani hata kama alikuwa hampendi huyo mwanamke atakula tu kupoza njaa