Hisia zako wakati unachepuka

Hisia zako wakati unachepuka

Habar ya jpl wana jf Samahani nina swali........ Kwa wale mlowahi kuchepuka au saiz umeamkia kwa mchepuko au unamchepuko,bila kujali sababu za kuchepuka maana utapata sababu ya kujitetea. Pindi unapoelekea kucheat,hivi hisia zako juu ya mpenz wako hua unaziweka wapi?huwa hazikujii akilini?au unajitoa ufahamu? nawaza hiv toka unaelekea kuchepuka,au mna anza kuchojoa nguo,dhamira haikusuti?hivi nao hua mna wapa mate?hamna kinyaa unachojihisi maana mdomo wa huyu kesho wa njia kuu..khaa Ktkt ya tendo je,mnafanya bila kupeana maneno matam?kama mnapeana mnamaanisha au yanatokea kooni? Ukitoka hapo je,ukakutana na mpnz wako au akapga simu.Dhamira inakusuta?(Naongelea hisia za ndan kabsa) NOTE:sijawahi kucheat wala sitarajii.ni swali tu..kama huna jibu pita kimya.asanteni
kuchepuka sizan ni mbaya ila nikiwaza nitakavyo kuta si msafi minywere makwapan na kule down na mdomo hafufu dah siwezi chepuka
 
Uko vizuri sana mkuu daud1,kuna gube gube niliapa sitaligusa maana nikiliangalia lilikuwa halina vina yaani kwa wife linasubiri,siku hiyo limenivalia khanga moja kitu nachokumbuka ni kujikuta nipo kwenye game huku wazungu wanakaribia kutoka,daah leo ndo nimeelewa kilichotokea.
Hahahahahahaaa pole sana ukweli ni kwamba katika tendo la ndoa kwa mwanaume na mwanamke ni tofauti mwanamke anahusisha hisia, mwanaume ni tamaa tu basi
 
una cheza na shetani wewe acha kabisa ,ukishamfungulia mlango shetani hata familia unasahau
 
Hapa hakuna anayejustify ila tunaeleza hali halisi, mwanaume kuchepuka hajaanza leo, lakin katika ukweli wa mambo ukiona mwanaume ameacha familia kwa sababu ya mchepuko ujue huyo mchepuko kamuendea kwa mganga ili amteke moja kwa moja, na kama wewe ni mchepuko unatoka na mume wa mtu jaribu kumponda mke wake mkiwa naye uone reaction yake baada ya hapo jiulize mwanaume anafuata nini kwa mchepuko kama mapenzi yako kwa mke ulete jibu hapa,
au unafikiri ni sababu zipi za msingi zinawafanya wanume wachepuke ili hali kama ni mbunye hata wake zao wanazo tena wamezilipia na mahali kabisa?

kwa hiyo kama ni mwanamke kagundua mume wake kamcheat, amsamehe tu achukulie ni tamaa zilimvaa ghafla, na yeye (mke) ndo anapendwa?
 
This is fact....

Mwanaume ni tofauti na mwanamke, mwanamke akichepuka ujue upendo umehama maana kwa mwanamke kufanya mapenzi kunaambata na hisia za moyo, mwanamke hawezi kufanya mapenz kama hajampenda mtu tofauti na mwanaume akishaona maungo ya ndani hata kama alikuwa hampendi huyo mwanamke atakula tu kupoza njaa
 
kwa hiyo kama ni mwanamke kagundua mume wake kamcheat, amsamehe tu achukulie ni tamaa zilimvaa ghafla, na yeye (mke) ndo anapendwa?
Sina maana hiyo, usinielewe vibaya, hapo inategemea na tabia ya mumeo maana kuna wengine wanatabia za umalaya za kurith, kuna wengne huchepuka kutokana na ushawishi wa makusudi wa wanawake kwa kuwa wanawake wanajua udhaifu wa mwanaume hivyo hutumia udhaifu huo kutimiza malengo yao, wengine huchepuka kutokana na mambo ambayo mke wake anamfanyia, sasa kama umegundua mumeo anachepuka tafuta sababu inayopelekea achepuke ili hali na wewe upo na anachokifuata huko na wewe unacho utofauti tu upo kwenye matumizi, wanaume kuwa na tamaa hakuwapi tiket ya kuchupuka wanaweza kuzuia na wewe kama mke unaweza kwa namna moja au nyingine ukamsaidia kuzuia hizo tamaa zake ili mradi unampenda ili kuepukana na magonjwa yanayotokana na zinaa
 
Sina maana hiyo, usinielewe vibaya, hapo inategemea na tabia ya mumeo maana kuna wengine wanatabia za umalaya za kurith, kuna wengne huchepuka kutokana na ushawishi wa makusudi wa wanawake kwa kuwa wanawake wanajua udhaifu wa mwanaume hivyo hutumia udhaifu huo kutimiza malengo yao, wengine huchepuka kutokana na mambo ambayo mke wake anamfanyia, sasa kama umegundua mumeo anachepuka tafuta sababu inayopelekea achepuke ili hali na wewe upo na anachokifuata huko na wewe unacho utofauti tu upo kwenye matumizi, wanaume kuwa na tamaa hakuwapi tiket ya kuchupuka wanaweza kuzuia na wewe kama mke unaweza kwa namna moja au nyingine ukamsaidia kuzuia hizo tamaa zake ili mradi unampenda ili kuepukana na magonjwa yanayotokana na zinaa

mwanamke anawezaje kuzuia tamaa za mwanaume au kumzuia mume asichepuke ilihali umesema mwanaume akishaona viungo vya mwanamke hawezi kujizuia hata kama hampendi huyo dada atalala naye tu kupoza njaa?
 
mwanamke anawezaje kuzuia tamaa za mwanaume au kumzuia mume asichepuke ilihali umesema mwanaume akishaona viungo vya mwanamke hawezi kujizuia hata kama hampendi huyo dada atalala naye tu kupoza njaa?
Swali zuri sana, mwanamke kutimiza majukumu yake kuhakikisha hiyo njaa haipo tena ili hata akiona maungo awe ameshiba hatakuwa na hamu ya kula, unajua mpaka huyo mumeo au mpenzi wako kuwa na wewe kuna vitu vimemvutia na kumfanya awaache wengine na kuamua kukuoa wewe sasa unatakiwa kumuonyesha kuwa uchaguzi wake hajakosea kwako lakini pia kumuweka mbali na marafiki si wote wenye nia nzuri usisimulie anayokufanyia kwa wenzako hasa ya kitandan maana ukisimulia itaamusha hamasa kwa wenzio nao kutaka kuonja wengi yamewatokea puani unakuta rafiki yako unayemuamin ndo huyo anakusaliti,hizo ni njia za kibinadamu tu, mkabidhi Mungu huyo mumeo amdhibiti michepuko utaisikia kwa wenzio tu na hilo ndo suluhisho la kudumu. Asante
 
Naongea ukweli mm nina mchepuko mmoja tu ambaye angekuwa my wife lakn kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu tulishindwa kuoana japo wote still tunapendana sana mm nmeoa na yeye ameolewa lakn bado tunakumbushia...
Lakin nguvu ya mke acha kabisa sometime nakosa ham kwa mchepuko wangu pindi nikimkumbuka my wife jins anavyonisisitiza...
Ni ugumu tu lakn moyo unasuta sana
 
Swali zuri sana, mwanamke kutimiza majukumu yake kuhakikisha hiyo njaa haipo tena ili hata akiona maungo awe ameshiba hatakuwa na hamu ya kula, unajua mpaka huyo mumeo au mpenzi wako kuwa na wewe kuna vitu vimemvutia na kumfanya awaache wengine na kuamua kukuoa wewe sasa unatakiwa kumuonyesha kuwa uchaguzi wake hajakosea kwako lakini pia kumuweka mbali na marafiki si wote wenye nia nzuri usisimulie anayokufanyia kwa wenzako hasa ya kitandan maana ukisimulia itaamusha hamasa kwa wenzio nao kutaka kuonja wengi yamewatokea puani unakuta rafiki yako unayemuamin ndo huyo anakusaliti,hizo ni njia za kibinadamu tu, mkabidhi Mungu huyo mumeo amdhibiti michepuko utaisikia kwa wenzio tu na hilo ndo suluhisho la kudumu. Asante

Asante kwa somo zuri nikifika huko nitaapply
 
Njia mojawapo ya kupunguza au kuondoa tabia fulani ni kuondoa mazoea.

Mwanaume anaweza kuanza kuchepuka, kadiri atakavyoendelea, atajenga tabia, akijenga hiyo tabia baadaye ataona jambo hilo ni la kawaida. Akishafikia hatua ya kuona jambo hilo ni la kawaida, wala hataumizwa katika moyo wake hata pale anapofanya.

Mazingira wakati fulani huchangia urahisi wa kupotoka. Kama unadhani mumeo ni dhaifu, jitahidi sana kila muda kuwa na mumeo mpaka ifikie mahali kila mmoja aone kuwa mnahitajika kuwa wote karibia kila mahali wakati wote. Mazingira hayo yatakuwa siyo mazingira rafiki. Na hata wale wenye kumpigia mahesabu mumeo wataona kuwa mumeo siyo mtu wa kupatikana kiurahisi.

Baadaye mumeo anaweza kujenga mazoea ya kuwa nawe wakati wote, na pia kujenga mazoea ya kutokuchepuka, na akitokea kuchepuka akitoka huko kwenye mchepuko lazima atakuwa hana amani na dhamira itamshtaki, na mwanaume anayesutwa na dhamira ni rahisi sana kujutia alichokifanya, na kukiacha. Lakini ni kweli pia kwa baadhi ya wanaume hata ushauri huu unaweza usifanye kazi.

Wenzetu wazungu, tabia ya kila mara mume na mke au boyfriend na girlfriend kuwa pamoja imepunguza sana tabia za kuchepuka.

mwanamke anawezaje kuzuia tamaa za mwanaume au kumzuia mume asichepuke ilihali umesema mwanaume akishaona viungo vya mwanamke hawezi kujizuia hata kama hampendi huyo dada atalala naye tu kupoza njaa?
 
Njia mojawapo ya kupunguza au kuondoa tabia fulani ni kuondoa mazoea.

Mwanaume anaweza kuanza kuchepuka, kadiri atakavyoendelea, atajenga tabia, akijenga hiyo tabia baadaye ataona jambo hilo ni la kawaida. Akishafikia hatua ya kuona jambo hilo ni la kawaida, wala hataumizwa katika moyo wake hata pale anapofanya.

Mazingira wakati fulani huchangia urahisi wa kupotoka. Kama unadhani mumeo ni dhaifu, jitahidi sana kila muda kuwa na mumeo mpaka ifikie mahali kila mmoja aone kuwa mnahitajika kuwa wote karibia kila mahali wakati wote. Mazingira hayo yatakuwa siyo mazingira rafiki. Na hata wale wenye kumpigia mahesabu mumeo wataona kuwa mumeo siyo mtu wa kupatikana kiurahisi.

Baadaye mumeo anaweza kujenga mazoea ya kuwa nawe wakati wote, na pia kujenga mazoea ya kutokuchepuka, na akitokea kuchepuka akitoka huko kwenye mchepuko lazima atakuwa hana amani na dhamira itamshtaki, na mwanaume anayesutwa na dhamira ni rahisi sana kujutia alichokifanya, na kukiacha. Lakini ni kweli pia kwa baadhi ya wanaume hata ushauri huu unaweza usifanye kazi.

Wenzetu wazungu, tabia ya kila mara mume na mke au boyfriend na girlfriend kuwa pamoja imepunguza sana tabia za kuchepuka.

umeongea kitu cha maana sana, mwisho wa siku dhamira ndo inayoamua. kama dhamira ya mtu imekufa basi hata kuchepuka mtu ataona kawaida. Asante
 
Back
Top Bottom