Wanajamii heshima kwenu.
Hii ni stori ya kweli,so makinika.
Nimekuwa na mchepuko Kwa takribani Kama miaka mitatu sasa,mtaani wanaita nyumba ndogo.
Huyu mchepuko Ana age range ya 27-34 na bado hajaolewa.
Mara ya Kwanza kukutana nae alinielezea jinsi mwalimu wa shule moja Moro aliyekuwa nae kimapenzi alivyomtenda na out of sympathy nikaamua niwe Naye-kumbuka sikuwahi kuwa na mchepuko in my lifetime.
Alilia sana that day nakumbuka tulikuwa some place karibu na Police officers mess Dar es salaam.
After that akawa official sex toy coz ilikuwa ni free P Kwa kwenda mbele though wakati mwingine nlitoa huduma mbalimbali of which she didn't care much,Huyu dada ni mzuri balaa.
Kilichonifanya kuandika yote haya;
Huyu dada nimeshamfumania Mara Tatu since we met and Mara ya mwisho alinikana kabisa kuwa Mimi siyo mpenzi wake na hanijui.
Mimi nilikuwa mpole coz that day home nilikuwa na wageni kutoka Kigoma nyumbani so wasingenielewa movement zangu za Usiku,so nikawa mvumilivu.Ila cha ajabu asubuhi yake Huyu dada alikuja kuniomba msamaha na kujutia alichofanya na kudai ni pombe.
Nlimpiga chini na kuachana nae kabisa,ila sasa juzi Hapa nimemuona kapendeza sana na anagradute soon,akaniomba hela ya saloon na Nguo za graduation.
Nimejikuta nimesahau kila Alichonifanyia nikamnunulia kila kitu na bado nikaendeleza kupiga papuchi yake Kama kawaida.
Nafsi inanisuta Kwa kurudia matapishi ila pia nimefika mwisho wa kufikiri.
Je ninaweza kumwacha Huyu kweli au ndo kashanisafiria kwao
Asanteni.