Wote tunafahamu ni kosa kubwa sana kaka dereva alianza kuumwa wakiwa eneo ambalo ni njia ya tembo na mtandao hakuna pia ilikua usiku hawakuweza kufanya mawasiliano na kiongozi wao wa kazi. ila kilichoonekana ni kwamba maboss walikua na ugomvi na walimuondoa ili kuendeleza ugomvi wao.
Kiukweli baada ya uvumilivu wa Muda mrefu nimeona bora kusema tu kweli kuhusu hawa waturuki wanaojenga SGR, sitaki kubase sana kwenye efficiency yao ya kazi ila nataka niweke wazi kwenye swala la socialization na sisi watanzania.
Wamekua ni watu wakatili na wakorofi sana inapokuja kwenye swala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.