Maana ya hayo uliyoeleza ni hii hapa ambayo Mungu alisema kupitia nabii Yeremia miaka mingi kabla Wayahudi hawajafika Ulaya na kwingineko:
(Jer 9:15-16) Basi, Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazama, nitawalisha pakanga, naam, watu hawa, nami nitawapa maji ya uchungu wayanywe...