yaaan ngoja nkawahi siti ya mbele kabsaa maana madrid navyomjua akishapgwa goli huwa anapata hasira ndo utamjua yaan inakua kama umefungulia nyuki so leo barca ajipange
Wanandugu tangu muda nimekuwa nikijiuliza hivi inaruhusiwa kwa gari la nyuma kulipita gari la mbele kwa upande wa kushoto kisheria lakini nimekosa jibu. Nimekuwa nikiwaona madereva wa boda boda na hata baadhi ya magari hufanya hivyo so nimeleta kwenu ili mnisaidie. Je, ni ruhusa kufanya hivyo,na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.