uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
ata mimi nakuunga mkono.
Kweli mkuu, walioferi ndo wako busy na Makonda as if wao walifauruNimefanya uchunguzi watu wengi tulioenda shule, yaani tulifaulu std seven, form4, form six, tukapata G.P.A ya haja first degree, Masters....., kazi tukazipata bila figisu..., hakuna anayepiga kelele za kupoteza muda kudai vyeti vya Makonda.., Rakini watu walio reseat Mara kumi kumi, wengine walishinda kuchomoka hata form two, ndio wanashinda mitandaoni kudai vyeti vya Makonda...., Kuna siku nitaanza kuwataja kwa Majina. Mi nadhani kila anayemwandama Makonda ajihoji kwanza yeye shule yake.
Mimi nimeamua CCM!!Hivi kwani hapa Tz vyama ni CCM na CHADEMA tu ? Vyama viko vingi tunaweza kuamua watanzania tukaangalia chama gani kingine kina sera nzuri na tukakipa nguvu na kikajipanga zaidi tukawapa tu dola ili kuachana na hivi vyama viwili.
Nikikuwa mwanachadema hapo kabla mkuukuhama kwako kusiwe nongwa coz hauna madhara kwa kuwa sio mwanaCDM ENDELEA NA PROPAGANDA ZAKO
Exactly!!Nimefanya uchunguzi watu wengi tulioenda shule, yaani tulifaulu std seven, form4, form six, tukapata G.P.A ya haja first degree, Masters....., kazi tukazipata bila figisu..., hakuna anayepiga kelele za kupoteza muda kudai vyeti vya Makonda.., Rakini watu walio reseat Mara kumi kumi, wengine walishinda kuchomoka hata form two, ndio wanashinda mitandaoni kudai vyeti vya Makonda...., Kuna siku nitaanza kuwataja kwa Majina. Mi nadhani kila anayemwandama Makonda ajihoji kwanza yeye shule yake.
MmmhhhhExactly!!
Wengi wanao ng'ang'ania vyeti vya makonda ni failure waliosota sana kielimu
Mkuu wamebaki ww wakuteke. Nahis Roma alikuwa ameandaa jiwe kali sasa ikabid walizuia kabla ya kutoka. Nay wamitego wakina bashite wamemtishia maisha.Huna akili
Mkuu acha kuqoute thread ndefu,,halafu acha ushamba,kukisolewa haimaanishi hakuwa mwenzetuTokea lini ukawa upinzani wewe mchumia tumbo?
Sawa naamini kakuelewa,ila acha kuquote thread ndefuUnataka tukusaideje sasa? kama umeamua kuwa mwanaccm mtiifu ni maamuzi yako. Kwa aliyeenda shule na kuufuta ubashite ni dhahiri kwamba wewe ni Lumumba mzoefu tuu ila umeingia humu kupima upepo na thread yako ya kibashite bashite. Otherwise huna jipya tuu...unasaka tonge kama wana Lumumba wenzako. Ni maisha. Hakuna anayeweza kukulaumu. Nchi ya Magufuli ngumu sana. Kila mtu anatafuta namna ya kusogeza siku!
Acha kuquote thread ndefuHaya uliyoongea mbona wenzako wameshayasema sana. Husomagi post za wenzio hadi unarudiarudia
Mkuu kwani usingeiquote thread unadhani asingeona reply yako?Ukiwa ccm sisi inatuhusu nini?
Wa kongwe wa JF wananitambua.
Kabla ya kubadili ID hii nilikuwa natumia ID nyingine ambayo ulikuwa hukosi thread kila siku kuipaisha chadema humu, uzi wangu ulikuwa gumzo humu.