Recent content by Towned

  1. Towned

    Jumapili Prof. Assad alikuwa akitafutwa anasema yupo nje ya Nchi

    Mkuu mbona una fikiri kitoto sana? Mtu akiwa nje ya nchi ukimpigia si utajua tu yupo nchi gani? Hivyo waulize waliompigia wakwambie maana ingekuwa uongo wao ndiyo wangesema kuwa mzee mbona upo +255 na sio code nyingine? Au wewe unadhani kuwa nje ya nchi inakuwaje?
  2. Towned

    Utenguzi RC Makonda kwa uamuzi wa DC Sofia Mjema Umebebwa na "Ulokole"

    Mbona Makonda ndiyo alipambana na watu wa dini au ndiyo Watz wepesi kusahau?
  3. Towned

    Naomba kujua namna Islamic Banking inavyopata faida

    Watz bana, ulitakiwa kueleza kama wanatoza riba wanatoza kwa namna gani na sio kubwabwaja. Mimi niliwafuatilia wakanieleza kuwa masharti yao ya kunikopesha ni kuwa hawanipi pesa bali wananipa bidhaa za duka then tuta share faida/hasara itayopatikana
  4. Towned

    Kusikiliza radio kwenye Computer

    Bei gani mkuu
  5. Towned

    Kusikiliza radio kwenye Computer

    Habari wakuu! Naomba kuelekezwa namna ya kusikiliza radio stations mbalimbali za Tanzania online kwa kutumia website au software. Pia naomba kujua kama kuna computer software inayowezesha kusikiliza radio offline? Asante
  6. Towned

    Iran Hoi bin taabani,utalii waporomoka ufukara waongezeka wananchi wang'aka

    Mtoa mada una umri gani? Maana isijeiuwa ndio umeijua Iran jana
  7. Towned

    Nakumbuka kwenye utetezi wa kesi yake alisema hana nguvu za kiume wala uume hausimami kabisa ila jana amefunga ndoa

    Ukiwa mmbeya unaweza usitafakari badala yake uwe mwongeaji tu. Ulitakiwa kujiuliza tatizo hilo halitibiki? Ameenda kupata matibabu baada ya kutoka jela na amepona? Je, ndoa is all about sex? Wewe unaweza fikiri ndoa ni kusex ila wenzio wakawa na mtazamo tofauti. Lakini pia anaweza akawa...
  8. Towned

    Mbeya hawajui kabisa nyama choma

    Mbona umeipromoti K Vant mkuu?
  9. Towned

    Kwaherini Star times

    Watz sijui nani aliwaroga. Yani asilimia kubwa ya wanaotumia DSTV hujiona wenye hela na wajanja. Yani huhisi wapo ulaya [emoji3][emoji3][emoji3]. Umenunua DTSV kwa 99,000 na unalipia kifurushi cha 19,000 huzidi hapo ilhali mwingine kanunua Azam 150,000 na analipia Sh. 18,000 unajiona mwenye...
  10. Towned

    Watalii wa kizungu wanazurura hivyo hovyo Kariakoo, kuna vivutio gani hapo?

    Pengine hujui maana halisi ya neno utalii. Wewe unajua utalii ni tembo na twiga
  11. Towned

    Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko Amerika Kusini

    Hivi hizi kauli za "mambo usiyojua" huwa mnamwambia nani? Umejuaje siyajui?
  12. Towned

    Mkuu wa shule aliyeshindikana Tanga jiji,Jafo njoo umng'oe

    Yani ulivyoandika tu unaonesha una chuki zako. Yani unasema muda mrefu alafu unaeleza wiki tatu. Na kuto kumlipa fundi ndiyo ubadhirifu? Serikali yenyewe imewapa watu kazi haijawalipa, wanaidai so nayo ni badhirifu?
  13. Towned

    Takribani wanafunzi 1,129 wame-disco UDSM na wengine zaidi ya 7,000 wanatakiwa kurudia mitihani yao

    Usijichanganye mkuu. Kufeli haimaanishi hawana akili. Chuo kina wanafunzi zaidi ya 25,000 wewe unazungumzia 1,000. Wakazane kusoma sio kuleta ubishoo. Dunia inahitaji wote wasomi na wenye hela. Ukitakata watu wote wasisome wakatafute hela punde watu wataishi maisha ya ujima maana hata kutumia...
Back
Top Bottom