Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Hali ni mbaya sana Tehran haitamaniki watalii wamekauka
Wananchi wanakaribia kufikia kikomo cha uvumilivu
Katika count za mashhad na birjand wananchi wameanza kuichoka Serkali wanahasira na ayatolah (this time hawamwachi)
Wanasema nuclear hazitawasaidia kitu wanataka kushiba kwanza
Kuporomoka kwa utalii kumeongezea ugumu wa maisha hali inayopelekea wananchi wengi kuanza kukimbia Nchi
Nchi hiyo ambayo ipo kwenye jela ya mateso ya kujitakia kwa kumchokoza bwana mkubwa wa dunia USA haileweki ni vipi ataomba msamaha na kusamehewa ili uchumi wake uimarike
Tuendelee kumuombea iran kwani amezungukwa na wababe wa kivita huku Saud arabia kule Israel bado washngton
Ushauri
Serkali ya iran uwache ubabe utaua wananchi
Wananchi wanakaribia kufikia kikomo cha uvumilivu
Katika count za mashhad na birjand wananchi wameanza kuichoka Serkali wanahasira na ayatolah (this time hawamwachi)
Wanasema nuclear hazitawasaidia kitu wanataka kushiba kwanza
Kuporomoka kwa utalii kumeongezea ugumu wa maisha hali inayopelekea wananchi wengi kuanza kukimbia Nchi
Nchi hiyo ambayo ipo kwenye jela ya mateso ya kujitakia kwa kumchokoza bwana mkubwa wa dunia USA haileweki ni vipi ataomba msamaha na kusamehewa ili uchumi wake uimarike
Tuendelee kumuombea iran kwani amezungukwa na wababe wa kivita huku Saud arabia kule Israel bado washngton
Ushauri
Serkali ya iran uwache ubabe utaua wananchi