hahahah ungekuwa mungu ningesema nisamehe mola wangu naomba nafasi nyingine lakini wewe mwenye mapungufu tena zaidi yangu walaaaa hata sishituki maana kama huo usmart unaouzungumzia hata wewe hauna. Poleee hauwezi haribu kitu kwenye maisha yangu.
Habari ndugu zangu mimi ni kijana wa kitanzania. nipo hapa mbele yenu kuomba msaada wakunisaidia ajira nimesomea uwandishi wa habari na nikafanikiwa kujitolea katika ofisi mbalimbali. nimejikuta anajitolea kwa muda mrufu bila mafanikio zaidi nikusifiwa utendaji wangu wa kazi. nikaona bora notudi...
kuna haja ya elimu kutolewa ili wahusika wajue maana wengine naji ya baridi ya friji au ya barid kawaida .. Haieleweki.. Mara inajisafisha mara inasafishwa ila ujumbe umefika wakina dada...
Habari wapendwa mimi ni msichana.
Nimeona sehemu na haikutosha nikatumiwa text. Ni kuhusu kujisafisha kwa uke, kuna kila aina ya usafishaji mfano maji ya moto na kitambaa au kidole, ndimu, hata asali na pamba.
Mie binafsi naijua maji kwa kidole. Ila ni hii ya asali na pamba mixer na maji ya...
my dear you touch my heart wenzetu hawa huwa hawakumbuki wema wanakumbuka kosa japo wanaumiaga kuachana ila hawataki kuonesha. Wanaume badiliken kumbuken wema pia mliotendewa japo kakosa ila kuna jema kalifanya jamani... Sie wanawake huwa tunapenda kuwa open kwao ila wao sio rahisi
halooooo unamkuta mkaka smart ya mavazi ya nje ngoja avue sasa haujui hii boxer nyeupe au rangi ya maziwa ni shaghalabagala tuu... Na sio boxer tu hata kunyoa nywele za kwapanii kaaa usiombe avae singilendi na anapanda daladala jaman mnatuua . Unakuta mkaka mzuri hehe ngoja anyanyue mikono...
vumilia unajua wanawake wengine wakiwa na ujauzito huwa wanachukia wanaume zao lamsingi ni kuvumilia. Ikiwezekana usimuoe haraka akikisha mtoto ana mwaka mmoja utajua tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.