On the contrary wenyeji hawataki wageni kwa sasa:
https://timesofindia.indiatimes.com/world/us/us-urges-over-150-world-leaders-not-to-come-to-un-over-covid/articleshow/85446216.cms
Umeiweka vizuri sana, Magufuli alililisema hili hadharani, na siyo siri kuwa Kikwete alikuwa madarakani wakati mchakato huu unaanza na pia China inahusika na mradi huu. Kama ni hivyo, kwanini China haijajitokeza hadharani kukanusha? China hawajawahi kuwa na unafiki, kila siku wanaparurana na...
Nikukumbushe tu aliyesema masharti ya proposal ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni mabovu alikuwa ni Rais wa JMT, kwa maneno mengine mtu aliyekuwa na access ya taarifa zote zinazohusu taifa wakati wowote; na kwa taarifa yako tu, si kuwa alikuwa anakuwa briefed tu, alikuwa anasoma yeye mwenyewe...
On serious note, you have a point. Uingereza hawaruhusu mpira uonyeshwe kwenye TV Jmosi saa 9 (all Saturday 3pm kick offs) ili kukuza mpira wao na kuongeza mapato kwa klabu zao. Sasa kama wao mpira wao hawaruhusu kuonyesha kwao kwanini sie mpira wao tuonyeshe kwetu?
Katika vitu vya kushangaza ambavyo huwa sivielewi ni suala la kuuliza maswali bungeni, kwanini yasiwe yanapelekwa wizara husika moja kwa moja yakapata majibu huko?
Amazing... so sad kuwa kuna watu wana mawazo kama yako.
Wakati fulani nilipita kijiji kimoja Ifakara nikashuhudia live mtoto wa miaka 2 akifariki mikononi mwa mama yake kwa malaria kali nje ya zahanati baada ya daktari kujaribu everything na kunyoosha mikono.
Baadae dokta aliniambia drip ya...
Tigo kwenye 4G iko safi. Pamoja na kuwa na latency kubwa kidogo kama picha zinavyoonyesha na pia fluctuation ya speeds; internet performance iko vizuri, ukishaconnect stream,haikati mpaka mwisho ukiwa unaangalia mpira kwa mfano. Kwenye ku download unapata mpaka 3MB/s wakati mwingine, 4G ya tigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.