Spidi ya Tigo 4G mchana huu

tototundu

Senior Member
Jul 29, 2009
198
40
tigo 4g speed.jpg

Kama nilivyopima kupitia www.speedtest.net just now. Amazing!
 
mbona speed ya kawaida sana kwa 4g?

mimi tanga napata 20+ mbps na zipo humu screenshot za watu kibao wanapata speed zaidi.
 
Dah mimi nipo nakomaa na spidi za kobe bora niwakimbie hawa jamaa sijui nihamie Halotel hao tigo na voda bundle zao zimekuwa na gharama kubwa sana
 

Attachments

  • Capture3.PNG
    Capture3.PNG
    53.9 KB · Views: 94
Dah mimi nipo nakomaa na spidi za kobe bora niwakimbie hawa jamaa sijui nihamie Halotel hao tigo na voda bundle zao zimekuwa na gharama kubwa sana
kama una kifaa cha 4g, kanunue modem ya tigo 4g kwa sh 50,000 (ulizia kama ofa ya gb 90 ipo), uza modem bei ya hasara hata 30,000 enjoy gb zako 30 kila mwezi kwa muda wa miezi 3.
 
Back
Top Bottom