Recent content by tototundu 1

  1. tototundu 1

    Mahusiano na maisha ya Ughaibuni

    Mnatutisha kwenda majuu
  2. tototundu 1

    Kabla ya kuzaliwa na baada ya kufa, sisi wanadamu tunakuwa wapi? (Education is power)

    Bnafsi sioni faida ya imani, nmeamua kuwa materialism naamini katika kufanya kazi kwa bidii
  3. tototundu 1

    Kabla ya kuzaliwa na baada ya kufa, sisi wanadamu tunakuwa wapi? (Education is power)

    Nmesoma mwanzo mpaka mwisho ila sjaelewa chochote
  4. tototundu 1

    Misemo ya viongozi wa kisiasa Tanzania

    Weka na ya gwajima hapo
  5. tototundu 1

    Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

    Moja ya wanaume mabwege hapa mjini, mnawapenda kwa sababu ni rahisi kuwaburuza
  6. tototundu 1

    Pale unapokuta mkeo katuma picha zake za uchi kwa mwanaume mwingine

    Ataachana na wangapi??? Mi mnishauri aje kwangu nmuuzie dawa ya kutuliza mke, yaani mizizi original
  7. tototundu 1

    Emmanuel Mbasha Afunguka sakata la Gwajima katika Twitter

    Gwajima huwezi kuwa mtoto wa mjini labda pengo
  8. tototundu 1

    Emmanuel Mbasha Afunguka sakata la Gwajima katika Twitter

    Moja ya watoto wa mjini waliozidiwa na mji... Pole Mr mbasha
  9. tototundu 1

    Wanawake wakiwa kwenye mahusiano husahau maendeleo yao binafsi?

    Hawa dada zetu wa kiafrika wakikuzidi salio moja kwa moja heshima yako inashuka yaani dharau wazi wazi wanabadilika kama kinyonga
  10. tototundu 1

    Danguro la uwanja wa fisi, polisi hamlioni?

    Uwanja wa fisi balaaa yaani hapa kanisa pembeni danguro
  11. tototundu 1

    Vita sasa ni Mbowe na Slaa

    Kweli Kuna watu hawana kazi za kufanya
  12. tototundu 1

    Tecno Phantom Z mini

    Habari zenu wakuu, nauza Tecno phantom Z mini imetumika mwezi Mmoja. Nipo dar es Salaam sinza Tel 0712642034 bei maelewano na ipo katika hali nzuri kabisa
Back
Top Bottom