Recent content by torotoro

  1. torotoro

    Baba mkwe anataka nimpe talaka mwanaye ili tugawe mali. Mama mkwe anaenda kwa waganga aniue ili mwanaye arithi mali zangu

    Mjombaa swala lako hilo laitaji uyakinifuu mkubwa sana na utulivu wa hali ya juu katika maamuzi binafsi kama ningekuwa mim kutokana na imani yanguu ningeongeza mkee wa pili hii ndio tiba yake la sivyoo utahangaika sana na hutapata ufumbuzi
  2. torotoro

    Dar: Traffik wa maeneo ya Keko, VETA na TAMEKO mnashida gani?

    Nduguuu mwana JF hivi ushawahi kupita barabara ya Makumbusho-Mbagara kupitia Karumee? so Msoto uliopoo pale mataa ya Karume kuvuka kwendaa VETA/Tameko/Kekoo jaman mtu unakaa zaid ya dakika 40 hadi saa nzimaa uko kwenyee foleni tuu unaona tuu gari zinaruhusiwa ni za kutoka Kariokoo basi...
  3. torotoro

    Wanawake jamani mnakwamaa wapi

    Sawaaa nahuyu jeee niwanjeee na fashion hii
  4. torotoro

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Hongeraa san mkuuu pia waambie kunadagaa mchele/ nyamaa/zanzibar/tangaa
  5. torotoro

    Wanawake jamani mnakwamaa wapi

    Nilitaka kufaham wanawakee nyie mnajiita waremboo mnakwamaa wapi mwanamkee unakuwa na mikuchaa kama shetani unafugaa kuchaa mpaka kula inakuw taabu kwenu urembo gani wa hivyo
  6. torotoro

    PC aina ya ACER inauzwa.

    Punguza tufany biashara 0654252692
  7. torotoro

    Fashion mpya ya Vanessa Mdee

    Daaah kam katapikwaa vilee
  8. torotoro

    Mke wangu askari Polisi bado anawasiliana na mzazi mwenzie ambae pia ni askari Polisi

    Ukipenda Boga basi penda na ua lake ijapo umeanza mechi gori moja bila we mtuu mzma umenielewa kaa ukijua mtenda hutendwa kam ulitenda utandewa hayo ndoo maandiko ya munguu maana yang n ipi kam ulitoka kimapenz na mke wa mtuu basi nawako watakula ila kam hukutok na mke wa mtuu bas na wako...
  9. torotoro

    Buza kwa Lulenge: Mwanajeshi ampa kipigo mpaka kumuua msanii wa maigizo

    Hilo jinga sana linajichukulia sheria mkononi daaaaaah inauma wacha serilikal ifanye kazi yakeeee
  10. torotoro

    Wanandoa tunaotundana na kuzodoana mara kwa mara ndo tunapendana kwa dhati kuliko nyie mnaoitana switie darling machoni pa watu

    Unadangany wew alikwambia nan kam mapenz ya ngum mkonon yanaraha kam si kusaritiana na kupotezeana muda soma vizur maandiko ya vitabu vya mungu vinasemaje kuhusu hiloo
Back
Top Bottom