Huna hoja zaidi unaleta speculation kitu ambacho sio sawa. Kama unania njema taja Mwl. Kampa mimba mwanafunzi jina na kidato.
Hoja yako ni mfu mambo ya siasa tena miaka kadhaa unayaleta leo acha umaamuma. Hiyo kata inazo shule tatu za sekondari ni ipi miongoni mwao lete na majina ya wahusika...
Hakuna jipya zaidi anatuonyesha namna tuliowaamini walivyokuwa na ndimi mbili.
Sitashangaa kumwona mzee naye akirudi alikotoka.
Kimsingi anatujenga kuwa wakatili.
Mmmh kwa hili bado sijashawishika...yaaani hiyo pc imepigwa mwaka gani kukiwa na aina hizi za mavazi na umri wake inamaana amezeeka hivi karibuni.
Unless hii pc iwe ni ya kijana wake but hatuwezi kumeza kila kitu NOUU
Hii series inanikumbusha ile tamthiliya ya The Bolday And The Beautiful.
Mimi hii story kwa kweli imenifungua mambo mengi i.e kuna family friend mmoja alienda urusi kkusoma zaidi ya miaka nane baadaye akaenda America kufanya kazi takribani miaka mitano kisha akaamua kurudi nyumbani kuoa. Baada...
Ukitaka kujuwa ushawishi tunauwezi bado angalia movie za kina Bashite, chairman,yule ex speaker wa moja ya klabu kongwe na yule mtoto wa n*je wa yule babu pale tanzania.
Ushawishi tunao sema tumejikita zaidi ndani kwa maslahi mazima ya tumbo zetu.
Udadisi huu
Upekenyuaji huu
Umakini huu tulionao wa TZ right kwamba ingekuwa tunawekeza katika uzalishaji leo tungekuwa kama China tu unlike wenzetu wapo busy na issue za kuongeza kipato.
Nimejaribu kuutoa usaha uliokichwani kuangazia masuala mazima ya tetesi zinapotokea hapa nyumbani.
Naisikia harufu ya kijasusi....
Ana jambo lake na watu wake...America...
Haingii akilini majambazi yakukimbize uziache mali zako while serikali inao uwenzo wa kukupa ulinzi.
Dr. Anasema 500 investors waliuwawa hapo Russia! Waliuwawa na mambazi?! Ama watu wa kazi...Dr.analake jambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.