Yanii umenikumbusha mamaangu mkubwa alikuwa na watoto5 Ila mtoto wake wakwanza alikuwa nikichomi balaa mvuta bangi mtu wakuowa na kuacha mlevi akija nyumbani na mwanamke anamkataza kufanya kazi sio house girl wanalala tu na mwanamke wake mama ake (mamkibwa) apike chakula awapelekee chumbani...
Ilimsaidiaaga sana mume wangu mpaka Leo mwaka wa 5 alipo weka wazi kipato chake kwangu mkewe na kuacha kadi yeye ni wife pesa imeingia naenda bank twaja timiza malengo yetu na pesa ya chakula kubaki pocket many yake 50000 maisha yanaenda tena kwa aman kikiisha unajua akipo
Before huu utaratibu...
Pumbavu nyie ndo ndugu vichomi kumfulia mkewe chupi imekuuma kwani iyo kifunikwa chupi anakitumiaga nani
Rudi kwenu kama unataka ata kaka ako aendelee kukusalimia
Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
Kuna baba mmoja Jana kaona nimemlipia dogo siti wote tunaumwa amna kubebana kaanza tokwa povu or unamfundisha nn mtoto atakama umelipia nikamwambia mzee dogo anaumwa afu we umepanda apa tu saiv kuna raia nimetoka nao mwanzo wa gari wamesimama na wamemuona dogo we ujiulizi kwann awajatokwa povu...
Na mnaongoza kuowa na kuacha kisa dini bado unawake 3 na unachepuka wanaume amrithikagi ilo ndo jibu ata upewe kila siku Mara 3 bado tu utataka na ya njee uonje
Yaani mpo kama paka ataa ashibe vipi panya akikatiza atamuwinda tu ata kama amli atamchezea tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.