Jenerali Mabeyo awasili Njombe kufuatilia mwenendo wa matukio ya utekaji na mauaji ya Watoto

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo amewasili Mkoani humo kufuatilia mwenendo wa oparesheni ya kifuatilia matukio ya utekaji na mauaji ya Watoto

Mkoani humo kiliundwa kikosi kazi maalumu cha kuchunguza na hatimaye kukomesha mauaji hayo ya kinyama

Jenerali Mabeyo amesema uchunguzi wa awali unaonesha matukio hayo yanafanywa kifamilia zaidi

Ameongeza kuwa ni lazima yadhibitiwe ili yasiwafikie watu wengi zaidi
 
Eeeeh kweli tuko awamu ya Tano. Najua watajaribu kuhahalisha lakini inaibua maswali mengi kuliko majibu. Inanikumbusha UKUTA.
 
Ndiyo shida hapo zinaanzia. Kila kitu kimevurugika kabisa. Kazi ya police anaenda mlinda mipaka, kwani kunatatizo la kuhitaji wanajeshi kama kwenye korosho?. IGP anakazi gani sasa?. I hate magufuli in one way but I love him kwa kuwashugulikia CCM asilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama,kwahiyo yeye kwenda njombe ni anatekeleza wajibu wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo amewasili Mkoani humo kufuatilia mwenendo wa oparesheni ya kifuatilia matukio ya utekaji na mauaji ya Watoto

Mkoani humo kiliundwa kikosi kazi maalumu cha kuchunguza na hatimaye kukomesha mauaji hayo ya kinyama

Jenerali Mabeyo amesema uchunguzi wa awali unaonesha matukio hayo yanafanywa kifamilia zaidi

Ameongeza kuwa ni lazima yadhibitiwe ili yasiwafikie watu wengi zaidi

Haya ni maajabu. CDF awa IGP!!!!! Jamani, mnajielewa ukweli? Au Uzi umekosewa?!
 
Hahhhh yani tz now days aieleweki kesho siro ataenda nae

Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
 
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo amewasili Mkoani humo kufuatilia mwenendo wa oparesheni ya kifuatilia matukio ya utekaji na mauaji ya Watoto

Mkoani humo kiliundwa kikosi kazi maalumu cha kuchunguza na hatimaye kukomesha mauaji hayo ya kinyama

Jenerali Mabeyo amesema uchunguzi wa awali unaonesha matukio hayo yanafanywa kifamilia zaidi

Ameongeza kuwa ni lazima yadhibitiwe ili yasiwafikie watu wengi zaidi
Sio sehemu yake,haya ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi!
Mkuu wa majeshi kufatiria kesi za mauaji?!
Hizi ni kazi za polisi,kuna makachero wengi tu ndani ya jeshi LA polisi wenye uwezo wa kufsnya kazi hiyo.kama wlivyofanya kibiti,wafanye na huko njombe.
JWTZ haitakiwi kushiriki kwenye operation ndogo kama hizi,hapa tunataka vitengo vya intelijensia vya polisi na TISS viingie kazini.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Protocal za kipuuzi sana yaani hata IGP hajaenda CDF unaenda?? hili ni jambo ambalo hata mkuu wa wilaya akijipanga na kamati yake wanaweza kulitatua. lisifanywe la kitaifa.
 
Back
Top Bottom