Recent content by Topintz

  1. Topintz

    KERO Responded Working permit zaidi ya wiki sasa mtandao unasumbua haufunguki, nini shida?

    Kwa zaidi ya wiki sasa mtandao wa vibali vya kazi Kazi | ePermit unaosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano haufanyi kazi. Kabla ya kwenda chini kabisa, website ilikua slow vibaya mno, ila sasa ni zaidi ya wiki website haipatikani kabisa.. ukiwapigia wanasema wanafanya...
  2. Topintz

    Je, mwaliko wa Tanzania katika mkutano wa G20 unatoa nafasi halisi ya kuboresha ushirikiano wa kimataifa kwa bara la Afrika?

    G20 inawakilisha zaidi ya 80% ya Pato la Taifa duniani na karibu 75% ya biashara ya kimataifa. Kushiriki kwa Tanzania kwenye mkutano wa G20 kutawezesha kuimarisha uhusiano na nchi zenye nguvu kiuchumi, hivyo kufungua milango ya ushirikiano wa kiuwekezaji. Mfano: Afrika Kusini, mwanachama wa...
  3. Topintz

    Tunashabikia UEFA Champions League lakini pesa anayolipwa bingwa wa EPL ni kubwa zaidi

    Hii habari ni ya zamani itakua ume copy paste sehemu, chelsea ni bingwa wa msimu uliopita. Ongelea hela atakayopata Man City msimu huu.
  4. Topintz

    How your home screen looklike

    Nah! Haipo active. Ni kama tumekutana wote tupo busy na maisha. Mtu anaeza request troops leo ukaja keshokutwa ukakuta request yake bado ipo. Labda kapewa troops 5/20. Clan haipo active kabisa.
  5. Topintz

    How your home screen looklike

    [emoji1][emoji1][emoji1] hatari mkuu
  6. Topintz

    How your home screen looklike

    Townhall 9 Level 87 mkuu. Nimekwama hapo kitambo nimepunguza kuicheza, huku mbele inazidi kuwa ngumu ku loot(opponents are tough). Inanipa uvivu maana sina muda na majukumu ni mengi[emoji28]
  7. Topintz

    Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

    Mwenye tv flat 32” used. Budget yangu 350-400k kulingana na brand na condition. Kma unayo njoo PM. Location; Uwe arusha.
  8. Topintz

    Nina 8M nahitaji Toyota Allex, RunX au IST

    Check your PM.
  9. Topintz

    Jinsi ya kuandika namba katika hali ya sehemu (eg: 2⅓ + 3¾) bila kutumia app

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana.
  10. Topintz

    DAR: Ofisi za IMMMA Advocates zawaka moto!

    Tuulize au waulize wanaoishi upanga. Huo mlipuko tumeusikia usiku na wengi wetu tumeamka. Sasa kama unataka kutuaminisha ilikua baruti sawa. Na transformers kila siku zinalipuka huku tushazizoea. Sasa cjui utasema ni nini?
  11. Topintz

    Tundu Lissu: Aliyevunja Mkataba wa ESCEL ni rais Magufuli

    Unamsaidiaje asiyetaka kusaidiwa? TL akiongea wanamwita mchochezi. Atleast enzi za JK wapinzani wakilipua bomu utaona serikali inafix au JK anawaalika ikulu kabisa wanasaidiana kusolve issues nchi itulie. Kufichua hiyo siri ya Bombardier tu ni msaada, or else zingelipwa hayo mahela bila wananchi...
  12. Topintz

    Arusha yaongoza Tanzania kwa kuwa na hotel nyingi za nyota 5

    Mkuu ungezilist hizo hotel hapa ungekua umefanya jambo zuri sana. Maana hapo kama taarifa yako haijatimia
  13. Topintz

    Ukweli: Umaarufu wa Mtoto wa Diamond ( Tiffah) Umeporomoka

    Sasa kipind kile ndo alikua kazaliwa, alikua na moto nae. Mtoto wake wa kwanza. Sasa ulitaka brand yake iendelee na moto ule ule wakat katoto hakajui hata kuongea vzur?. Hata Asahd wa Dj Khaleed itafika wakat mtamwona wa kawaida tu. Hakunaga kiki za milele
Back
Top Bottom