Kwa zaidi ya wiki sasa mtandao wa vibali vya kazi Kazi | ePermit unaosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano haufanyi kazi. Kabla ya kwenda chini kabisa, website ilikua slow vibaya mno, ila sasa ni zaidi ya wiki website haipatikani kabisa.. ukiwapigia wanasema wanafanya...
G20 inawakilisha zaidi ya 80% ya Pato la Taifa duniani na karibu 75% ya biashara ya kimataifa. Kushiriki kwa Tanzania kwenye mkutano wa G20 kutawezesha kuimarisha uhusiano na nchi zenye nguvu kiuchumi, hivyo kufungua milango ya ushirikiano wa kiuwekezaji.
Mfano: Afrika Kusini, mwanachama wa...
Nah! Haipo active. Ni kama tumekutana wote tupo busy na maisha. Mtu anaeza request troops leo ukaja keshokutwa ukakuta request yake bado ipo. Labda kapewa troops 5/20. Clan haipo active kabisa.
Townhall 9 Level 87 mkuu. Nimekwama hapo kitambo nimepunguza kuicheza, huku mbele inazidi kuwa ngumu ku loot(opponents are tough). Inanipa uvivu maana sina muda na majukumu ni mengi[emoji28]
Tuulize au waulize wanaoishi upanga. Huo mlipuko tumeusikia usiku na wengi wetu tumeamka. Sasa kama unataka kutuaminisha ilikua baruti sawa. Na transformers kila siku zinalipuka huku tushazizoea. Sasa cjui utasema ni nini?
Unamsaidiaje asiyetaka kusaidiwa? TL akiongea wanamwita mchochezi. Atleast enzi za JK wapinzani wakilipua bomu utaona serikali inafix au JK anawaalika ikulu kabisa wanasaidiana kusolve issues nchi itulie. Kufichua hiyo siri ya Bombardier tu ni msaada, or else zingelipwa hayo mahela bila wananchi...
Sasa kipind kile ndo alikua kazaliwa, alikua na moto nae. Mtoto wake wa kwanza. Sasa ulitaka brand yake iendelee na moto ule ule wakat katoto hakajui hata kuongea vzur?. Hata Asahd wa Dj Khaleed itafika wakat mtamwona wa kawaida tu. Hakunaga kiki za milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.