Recent content by Topintz

  1. Topintz

    JamiiForums Tanzania KERO Ujenzi wa Barabara ya Kinondoni Binti Matola (V-WAYS) nini kinaendelea? imetelekezwa?

    Haha! Tunashindwa kuelewa, ni kheri wangeiacha kama hawana bajeti au uhakika wa kuitengeneza kuliko kuchimba na kuharibu mtaa mzima alafu unautelekeza. Shughuli za mtaa mzima zimekua affected, mvua ikinyesha ni balaa mtaa mzima.
  2. Topintz

    JamiiForums Tanzania KERO Ujenzi wa Barabara ya Kinondoni Binti Matola (V-WAYS) nini kinaendelea? imetelekezwa?

    Angalia kwenye picha utapajua
  3. Topintz

    JamiiForums Tanzania KERO Ujenzi wa Barabara ya Kinondoni Binti Matola (V-WAYS) nini kinaendelea? imetelekezwa?

    Mnamo mwaka jana 2025 mwanzoni, serikali ilitangaza kuboresha barabara ya Kinondoni kuanzia Wakulima Road (usalama) mpaka Mtaa wa Binti Matola (mtaa opposite na mwembe jini, unaoenda mpaka V Ways) kwa kiwango cha lami. Viongozi pamoja na mkandarasi walikaa kikao na sisi wakazi wa eneo husika...
  4. Topintz

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Working permit zaidi ya wiki sasa mtandao unasumbua haufunguki, nini shida?

    Kwa zaidi ya wiki sasa mtandao wa vibali vya kazi Kazi | ePermit unaosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano haufanyi kazi. Kabla ya kwenda chini kabisa, website ilikua slow vibaya mno, ila sasa ni zaidi ya wiki website haipatikani kabisa.. ukiwapigia wanasema wanafanya...
  5. Topintz

    JamiiForums Tanzania Je, mwaliko wa Tanzania katika mkutano wa G20 unatoa nafasi halisi ya kuboresha ushirikiano wa kimataifa kwa bara la Afrika?

    G20 inawakilisha zaidi ya 80% ya Pato la Taifa duniani na karibu 75% ya biashara ya kimataifa. Kushiriki kwa Tanzania kwenye mkutano wa G20 kutawezesha kuimarisha uhusiano na nchi zenye nguvu kiuchumi, hivyo kufungua milango ya ushirikiano wa kiuwekezaji. Mfano: Afrika Kusini, mwanachama wa...
  6. Topintz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Walivyonifanyia mabinti, kabla na baada ya balehe

  7. Topintz

    JamiiForums Tanzania Tunashabikia UEFA Champions League lakini pesa anayolipwa bingwa wa EPL ni kubwa zaidi

    Hii habari ni ya zamani itakua ume copy paste sehemu, chelsea ni bingwa wa msimu uliopita. Ongelea hela atakayopata Man City msimu huu.
  8. Topintz

    JamiiForums Tanzania How your home screen looklike

    Nah! Haipo active. Ni kama tumekutana wote tupo busy na maisha. Mtu anaeza request troops leo ukaja keshokutwa ukakuta request yake bado ipo. Labda kapewa troops 5/20. Clan haipo active kabisa.
  9. Topintz

    JamiiForums Tanzania How your home screen looklike

    [emoji1][emoji1][emoji1] hatari mkuu
  10. Topintz

    JamiiForums Tanzania How your home screen looklike

    Townhall 9 Level 87 mkuu. Nimekwama hapo kitambo nimepunguza kuicheza, huku mbele inazidi kuwa ngumu ku loot(opponents are tough). Inanipa uvivu maana sina muda na majukumu ni mengi[emoji28]
  11. Topintz

    JamiiForums Tanzania How your home screen looklike

  12. Topintz

    JamiiForums Tanzania Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

    Mwenye tv flat 32” used. Budget yangu 350-400k kulingana na brand na condition. Kma unayo njoo PM. Location; Uwe arusha.
  13. Topintz

    JamiiForums Tanzania Nina 8M nahitaji Toyota Allex, RunX au IST

    Check your PM.
  14. Topintz

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuandika namba katika hali ya sehemu (eg: 2⅓ + 3¾) bila kutumia app

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana.
  15. Topintz

    JamiiForums Tanzania DAR: Ofisi za IMMMA Advocates zawaka moto!

    Tuulize au waulize wanaoishi upanga. Huo mlipuko tumeusikia usiku na wengi wetu tumeamka. Sasa kama unataka kutuaminisha ilikua baruti sawa. Na transformers kila siku zinalipuka huku tushazizoea. Sasa cjui utasema ni nini?
Back
Top Bottom