Tunashabikia UEFA Champions League lakini pesa anayolipwa bingwa wa EPL ni kubwa zaidi

eden kimario

JF-Expert Member
Jun 13, 2015
10,227
16,178
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Chelsea wanatarajiwa kulamba kitita cha bilioni 434 za Kitanzania kutoka kwa wasimamizi wa ligi hiyo inayotarajiwa kumalizika wikiendi hii.

Fedha hizo ambazo ni sehemu ya zawadi ya kutwaa ubingwa pamoja na haki ya matangazo ya luninga, Chelsea imejikusanyia pesa nyingi paundi mil 150, tofauti ya bingwa wa msimu wa uliopita Leicester City aliyepata paundi 93.

Hii inafuatia kuongezeka dau la udhamini kwenye matangazo ya ndani kwenye mkataba mpya wa EPL dhidi ya warusha matangazo SkySport na BT Sports wanaorusha jumla ya michezo 168 ya ligi hiyo moja kwa moja.

Mkataba mpya wa EPL na wenye haki ya kuonyesha michezo hiyo unaonyesha kila mechi moja ni sawa na paundi mil 10.19 sawa na fedha za kitanzania bil 2.7 kwa mchezo.

Mgawanyo wa fedha hizo unaonyesha mshindi wa pili anapata paundi milioni 144, mshindi wa tatu paunid milioni 142, mgao huo unaendelea kwa timu zote na timu ya mwisho inaambulia paundi mil 97
 
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Chelsea wanatarajiwa kulamba kitita cha bilioni 434 za Kitanzania kutoka kwa wasimamizi wa ligi hiyo inayotarajiwa kumalizika wikiendi hii.

Fedha hizo ambazo ni sehemu ya zawadi ya kutwaa ubingwa pamoja na haki ya matangazo ya luninga, Chelsea imejikusanyia pesa nyingi paundi mil 150, tofauti ya bingwa wa msimu wa uliopita Leicester City aliyepata paundi 93.

Hii inafuatia kuongezeka dau la udhamini kwenye matangazo ya ndani kwenye mkataba mpya wa EPL dhidi ya warusha matangazo SkySport na BT Sports wanaorusha jumla ya michezo 168 ya ligi hiyo moja kwa moja.

Mkataba mpya wa EPL na wenye haki ya kuonyesha michezo hiyo unaonyesha kila mechi moja ni sawa na paundi mil 10.19 sawa na fedha za kitanzania bil 2.7 kwa mchezo.

Mgawanyo wa fedha hizo unaonyesha mshindi wa pili anapata paundi milioni 144, mshindi wa tatu paunid milioni 142, mgao huo unaendelea kwa timu zote na timu ya mwisho inaambulia paundi mil 97
Chelsea anaipata hii kwa ubingwa wa mwaka gani samahan lakini
 
Hii habari ni ya zamani itakua ume copy paste sehemu, chelsea ni bingwa wa msimu uliopita. Ongelea hela atakayopata Man City msimu huu.
 
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Chelsea wanatarajiwa kulamba kitita cha bilioni 434 za Kitanzania kutoka kwa wasimamizi wa ligi hiyo inayotarajiwa kumalizika wikiendi hii.

Fedha hizo ambazo ni sehemu ya zawadi ya kutwaa ubingwa pamoja na haki ya matangazo ya luninga, Chelsea imejikusanyia pesa nyingi paundi mil 150, tofauti ya bingwa wa msimu wa uliopita Leicester City aliyepata paundi 93.

Hii inafuatia kuongezeka dau la udhamini kwenye matangazo ya ndani kwenye mkataba mpya wa EPL dhidi ya warusha matangazo SkySport na BT Sports wanaorusha jumla ya michezo 168 ya ligi hiyo moja kwa moja.

Mkataba mpya wa EPL na wenye haki ya kuonyesha michezo hiyo unaonyesha kila mechi moja ni sawa na paundi mil 10.19 sawa na fedha za kitanzania bil 2.7 kwa mchezo.

Mgawanyo wa fedha hizo unaonyesha mshindi wa pili anapata paundi milioni 144, mshindi wa tatu paunid milioni 142, mgao huo unaendelea kwa timu zote na timu ya mwisho inaambulia paundi mil 97
Toa uchawi wako apa
 
Mbona fainal ya play off ya championship ya uingereza bingwa anapata pesa nyingi kuliko bingwa wa EPL na UCL?

Stoke city wakiwa mabingwa hawawezi kupewa pesa atakazopewa United hata kama wakiwa nafasi ya 10.
 
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Chelsea wanatarajiwa kulamba kitita cha bilioni 434 za Kitanzania kutoka kwa wasimamizi wa ligi hiyo inayotarajiwa kumalizika wikiendi hii.

Fedha hizo ambazo ni sehemu ya zawadi ya kutwaa ubingwa pamoja na haki ya matangazo ya luninga, Chelsea imejikusanyia pesa nyingi paundi mil 150, tofauti ya bingwa wa msimu wa uliopita Leicester City aliyepata paundi 93.

Hii inafuatia kuongezeka dau la udhamini kwenye matangazo ya ndani kwenye mkataba mpya wa EPL dhidi ya warusha matangazo SkySport na BT Sports wanaorusha jumla ya michezo 168 ya ligi hiyo moja kwa moja.

Mkataba mpya wa EPL na wenye haki ya kuonyesha michezo hiyo unaonyesha kila mechi moja ni sawa na paundi mil 10.19 sawa na fedha za kitanzania bil 2.7 kwa mchezo.

Mgawanyo wa fedha hizo unaonyesha mshindi wa pili anapata paundi milioni 144, mshindi wa tatu paunid milioni 142, mgao huo unaendelea kwa timu zote na timu ya mwisho inaambulia paundi mil 97
Chelsea sio bingwa mwaka huu.
Paundi 93 almost shilling laki tatu kwa bingwa wa EPL, seriously?
 
Hongereni chelsea kwa kushinda kikombe cha EPL 2017-2018...kuna tofauti kati ya ligi ya mechi 13 na ligi ya mechi 38 ila nikwambie tu mpk unashinda UEFA unalamba mamilioni ya paund ya kutosha kuliko bingwa wa EPL coz kila hatua unayopiga kuna bonasi ya maana unalipwa tena inaongezeka ktk kila hatua, yaani ukijumlisha na pesa ya ubingwa unajikuta unakusanya mpunga HEAVY,sina mchanganuo sahihi kwa sasa ukipata mda fatilia UEFA wanazilipaje timu shiriki jibu utakalopata ni kwamba mpk inakuwa bingwa you're RICH enough than EPL winner...hongera chelsea kwa ubingwa
 
Mbona fainal ya play off ya championship ya uingereza bingwa anapata pesa nyingi kuliko bingwa wa EPL na UCL?

Stoke city wakiwa mabingwa hawawezi kupewa pesa atakazopewa United hata kama wakiwa nafasi ya 10.
.
mkuu samahani embu fafanua kidogo hapa,,fainali ya play off championship ni ya kumtafta mshindi wa 3 atakaepanda ligi kuu pamoja na bingwa na mshndi wa 2,sasa anapataje hela nyngi kulko bingwa wa epl!??? je mshindi wa 2 na bingwa wa championship?
 
Hoja hapa ni bingwa wa uefa kulamba pesa ndogo
Hiyo ni kopy tu kuonyesha chelsea alipotwaa ubingwa msimu uliopita alipata pesa ndefu kuliko ile ya leicester pauni million 93 kutokana na wadhamini kuongezeka
Vipi bingwa wa UEFA anapata pesa ndogo hivyo ?
Nilitegemea awe anakunja ndefu kwa kuwa ni michuano pia inayotazamwa duniani kote
 
Back
Top Bottom