Recent content by top guy

  1. T

    CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

    kilimanjaro chini ya kim paulsen wapo vizuri sana,na hata uganda hawana mpira wa kuitisha kili starz, vijana wanafunguka na kujituma ama hakika they know what their doing,HONGERA KIM
  2. T

    Msiba wa sharo: Wema afunika mastaa wenzake

    acha ujinga kijana huyo wema nani yako?na ulimpimaje kujua kama ye ndo ana uchungu wa dhati kwani we mamake,acha kumpeperusha nduguyo, oooooh!!! nazingua bro.
  3. T

    Ajali mbaya ya tank la mafuta muda huu mlimani Sekenke wilaya Iramba mkoa wa Singida

    kaka sekenke usiku huu ulikuwa unafanya nini?nawe lazima umebeba vyako then unataka uwaaribie wenzako acha nao wajipatie riziki yao maana imewafuata kwani mungu alisema jisaidie nami nikusaidie.
  4. T

    Mwenye cv ya SHIGONGO

    KAKA FANYA YAKO BHANA,SHIGONGO ni entrepreneur bhana wala hutakiwi kufuatilia cv yake,mchapakazi and fighter sa cjui unataka kujua nini?
Back
Top Bottom