kilimanjaro chini ya kim paulsen wapo vizuri sana,na hata uganda hawana mpira wa kuitisha kili starz, vijana wanafunguka na kujituma ama hakika they know what their doing,HONGERA KIM
acha ujinga kijana huyo wema nani yako?na ulimpimaje kujua kama ye ndo ana uchungu wa dhati kwani we mamake,acha kumpeperusha nduguyo, oooooh!!! nazingua bro.
kaka sekenke usiku huu ulikuwa unafanya nini?nawe lazima umebeba vyako then unataka uwaaribie wenzako acha nao wajipatie riziki yao maana imewafuata kwani mungu alisema jisaidie nami nikusaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.