Ipu ni course nzuri ya kusomea Sheria kati ya "Bachelor of Laws" na "Bachelor of Law Enforcement?"
Nitashukuru kama utaniambia ipi inajikita na Nini haswa .
Na ipi ni rahisi kujiajiri / kuajiriwa.
Msaada,
Ni course gani nzuri ya kusoma Chuo Kikuu kwa mwanafunzi aliyesoma PCM advance kwa kuzingatia soko la Ajira nchini.
Nitashukuru kama ukinitajia course na unakua nani baada ya kumaliza chuo. Mfano mwalimu, engineer, accountant etc..
Thanks[emoji120]
Habari zenu wakuu.
Naomba niende mojakwamoja kwenye mada husika, ni story ndefu lakini nitajaribu kuifupisha.
Ni Mfanyakazi mwenzangu, nilishiriki kwenye zoezi zima la kumposa mkewe, mahari na sendoff kasoro ndoa sikuhudhuria kwakua walifungia mkoani na ilikua ya kibinafsi yaani hakutaka iwe...
Umefanyaje mkuu namimi tangu Jana nimeshindwa Kununua umeme Kwa simu ..napewa meseji ya kubadili sijui "key change"
Kila nikipiga namba ya Tanesco nilopewa haipatikani
Msaada....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.