Recent content by Too face

  1. Too face

    Updates: Maombi ya Vyuo Vikuu kwa Mwaka 2023/2024

    Tunaangalia wapi majibu wakuu Kwa waliochagua vyuo??
  2. Too face

    Ipi kozi nzuri kati ya Bachelor of Law Enforcement na Bachelor of Laws

    Ipu ni course nzuri ya kusomea Sheria kati ya "Bachelor of Laws" na "Bachelor of Law Enforcement?" Nitashukuru kama utaniambia ipi inajikita na Nini haswa . Na ipi ni rahisi kujiajiri / kuajiriwa.
  3. Too face

    Msaada: Kozi gani nzuri kwa mwanafunzi aliyesoma tahasusi ya PCM

    Msaada, Ni course gani nzuri ya kusoma Chuo Kikuu kwa mwanafunzi aliyesoma PCM advance kwa kuzingatia soko la Ajira nchini. Nitashukuru kama ukinitajia course na unakua nani baada ya kumaliza chuo. Mfano mwalimu, engineer, accountant etc.. Thanks[emoji120]
  4. Too face

    Naombeni ushauri wenu nimsaidie jamaa

    Asante mkuu ..nitamwambia
  5. Too face

    Naombeni ushauri wenu nimsaidie jamaa

    Labda kazidiwa na ushirikina.
  6. Too face

    Naombeni ushauri wenu nimsaidie jamaa

    Asante mkuu ..Wacha nijaribu..
  7. Too face

    Naombeni ushauri wenu nimsaidie jamaa

    Ndicho nilitegemea kukiskia mwanzoni Duh ..huruma !!
  8. Too face

    Naombeni ushauri wenu nimsaidie jamaa

    Ni mtu asiyeweza kujisimamia..
  9. Too face

    Naombeni ushauri wenu nimsaidie jamaa

    Sawa mkuu nitafanya hivyo.thanks
  10. Too face

    Naombeni ushauri wenu nimsaidie jamaa

    Habari zenu wakuu. Naomba niende mojakwamoja kwenye mada husika, ni story ndefu lakini nitajaribu kuifupisha. Ni Mfanyakazi mwenzangu, nilishiriki kwenye zoezi zima la kumposa mkewe, mahari na sendoff kasoro ndoa sikuhudhuria kwakua walifungia mkoani na ilikua ya kibinafsi yaani hakutaka iwe...
  11. Too face

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Umefanyaje mkuu namimi tangu Jana nimeshindwa Kununua umeme Kwa simu ..napewa meseji ya kubadili sijui "key change" Kila nikipiga namba ya Tanesco nilopewa haipatikani Msaada....
Back
Top Bottom