Hata hayo uliyoyaorodhesha ndiyo yanawezekana kwani wewe ipi passion yako? Dunia ya leo achana na hayo mambo ya kuajiriwa kama kipaumbele fanya kile ambacho kitakupa wigo mpana wa kuweza kufanya lingine nje na ajira.Msaada ...
Ni course Gani nzuri ya kusoma chuo kikuu Kwa mwanafunzi aliyeSoma PCM advance?
Kwa kuzingatia soko la Ajira nchini..
Nitashukuru kama ukinitajia course na unakua nani baada ya kumaliza chuo... mfano ..mwalimu,engineer ,accountant etc..
Thanks
Matokeo ya form six yametoka leo, umepata division ngapi? Tuanzie hapo kwanza.Msaada ...
Ni course Gani nzuri ya kusoma chuo kikuu Kwa mwanafunzi aliyeSoma PCM advance?
Kwa kuzingatia soko la Ajira nchini..
Nitashukuru kama ukinitajia course na unakua nani baada ya kumaliza chuo... mfano ..mwalimu,engineer ,accountant etc..
Thanks
Hio hapoengineer
Asije akafeli bure 😂Aende Asome BAF Mzumbe aachane na upumbavu huo mwingine
Computer engineering na Finance.Msaada,
Ni course gani nzuri ya kusoma Chuo Kikuu kwa mwanafunzi aliyesoma PCM advance kwa kuzingatia soko la Ajira nchini.
Nitashukuru kama ukinitajia course na unakua nani baada ya kumaliza chuo. Mfano mwalimu, engineer, accountant etc..
Thanks