Hello wakuu Naomba Msaada
shule nzuri ya MSINGI ya masister ya bweni iliyopo Dar
Ukitaja vitu vifuatavyo utabarikiwa..
1jina la shule
2mahali ilipo
na vingine vya MSINGI.
ASANTENI.
Naunga mkono hojaMary mother of Mercy
Ipo Gongo la mboto nyuma ya Kampala university kama unaenda Majohe
Ukiivuka rail tuu ulizia kanisa katoliki- shule ipo ndani ya hilo kanisa
Mazingira mazuri, malezi mazuri, taaluma safi na ada ndio kama hiyo unayotaka
Kila la heri
Amina 🙏Naunga mkono hoja
Huyo unayetaka kumpeleka huko kwa Masista akasome Umeshajiridhisha kuwa bado yuko Bikira ( Sealed ) kama hao Wenzake anaoenda Kuwakuta na Kujumuika nao huko Kitaaluma?Hello wakuu Naomba Msaada
shule nzuri ya MSINGI ya masister ya bweni iliyopo Dar
Ukitaja vitu vifuatavyo utabarikiwa..
1jina la shule
2mahali ilipo
na vingine vya MSINGI.
ASANTENI.
Asante sana .nitakwenda kuiona.Mary mother of Mercy
Ipo Gongo la mboto nyuma ya Kampala university kama unaenda Majohe
Ukiivuka rail tuu ulizia kanisa katoliki- shule ipo ndani ya hilo kanisa
Mazingira mazuri, malezi mazuri, taaluma safi na ada ndio kama hiyo unayotaka
Kila la heri
CanossaIko shule moja ya Ma sister Tegeta Nyuki nimesahau tu jina...
Una uhakika kwamba wanaosoma hapo wako sealed?Huyo unayetaka kumpeleka huko kwa Masista akasome Umeshajiridhisha kuwa bado yuko Bikira ( Sealed ) kama hao Wenzake anaoenda Kuwakuta na Kujumuika nao huko Kitaaluma?
Canossa bilashakaIko shule moja ya Ma sister Tegeta Nyuki nimesahau tu jina...