Hongera sana wengine ni majonziALHAMDULILLAH nimefanikiwa kuchaguliwa@
Pole sana nduguHongera sana wengine ni majonzi
Tunaangalia wapi majibu wakuu Kwa waliochagua vyuo??
Sawa .[emoji120][emoji120]log in kweny account yako uliyoombea chuo
Chuo ndo kinatuma matokeo nacte mfano mimi chuo nilichosoma wengi walikua na shida iyo Ila chuo ndo kinasolve na wamepata AVN sasaivi kwaiyo wasiliana na chuo ulichosoma diploma yako waambie ujapata AVN na matokeo ayajatumwa nacte apo nacte huenda wana matokeo yako ya diploma 1 au certificate vyuo ndo vinakwamisha watu na kuwacheleweshea NACTE wao sio makosa yaoJaman sahanin tuna shid karib diploma nzima taarifa zetu nacte hazijawa verified tumeend kuuliz nacte tumeambiw matokea bado hayajatumw .... Naomben mnipatie solution japo hat nifanye nn kwa sas ambapo mud naon umebak mchach[emoji120][emoji120]
Msaada hivi kama mtu amerisiti mtihan anatumia namba gan ku applyKaribuni hapa tupeane taarifa na habari za hapa na pale kwa maombi ya vyuo vikuu kwa mwaka huu wa 2023/2024.
Kwa wanafunzi wanaoomba au wazazi,walezi,ndugu na marafiki mnaowasaidia ndugu zenu kwenye maombo huu ndo uwanja wa kukuhabarishana.
Hizi hapa ndiyo guidelines zinazotumika kwa form six na wale wa diploma wanaoenda kuchukua degree ya kwanza.
View attachment 2688579
View attachment 2688578
Na hii ndiyo Almanac au ratiba nzima itakavyokuwa kwenye mchakato wa mwaka huu. Maombi yameanza rasmi leo tarehe 15 Julai na yanategemewa kufungwa tarehe 4 Agosti katika raundi ya kwanza.
View attachment 2688581
Ahsante sanaHongereni nyie wote mliopata.