Recent content by tontouch

  1. tontouch

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    sasa shida kupata huyo bikira ni ngumu labla huyo mke atoke kwa mungu na usijitafutie
  2. tontouch

    Tupeane Mawazo: Tunaomiliki wanawake warembo/wazuri

    wengine wana sema mapenzi ni pesa wengine mapenzi upendo wa kweli kumpenda mtu alivyo ,wanawake bado aijajulikana wana penda nn mpaka sasa
  3. tontouch

    Je, mitume na manabii waliopita kabla ya yesu na Muhammad walikuwa dini gani?

    imani hapa duniani zina ogezeka kila siku ila siku ya mwisho ukweli uta julikana . maisha ya duniani ni mafupi sana
  4. tontouch

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    una weza kuoa lakini baba wa mtoto asiwepo dunia hii, maana wanaweza ludiana tiali mtoto ana waunganisha afu ukabaki kuonekana fala
  5. tontouch

    Biashara yenye pesa nyingi huwezi ikuta ikipambanuliwa mitandaoni hata siku1

    kweli ata ku trade forex kuna ela sema watu wana ogopa risk
  6. tontouch

    Nini maana ya wife material

    mwanamke aliekuonesha mungu. huyo kilakitu kizuli atakuwa nacho. japo binadamu tuna kasolo
  7. tontouch

    Baada ya kuchepuka amepewa masharti atoe mimba kunusuru ndoa

    amuache azae tu ili tuwe na machotara wengi bongo.
  8. tontouch

    Ijue nafasi ya " Mwanamke Bikira" katika ulimwengu wa kiroho

    ilikuwa lakini si sasa ktk hii dunia ya sasa maisha yame change 90% ana toa bikira mwingine ana mzaliza mwingine ana kuja kuoa mwingine. #V75
  9. tontouch

    Nahisi ugonjwa wa moyo unaniwinda baada ya kuachwa na mwanaume aliyenizalisha

    Pole lakini hapa duniani akuna mtu ata kaa upande wako miaka yote ni kawaida kwenye maisha wewe fungua kurasa mpya tu.
  10. tontouch

    Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

    mafanikio yana chukuwa mda kuya pata ina weza kuwa miaka 5 ata 10 tafuta kitu chakufanya uwe na malengo and take risk
  11. tontouch

    Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

    mafanikio yana chukuwa mda kuya pata ina weza kuwa miaka 5 ata 10 tafuta kitu chakufanya uwe na malengo and take risk
  12. tontouch

    Sisi wanaume ni waelewa sana, tunataka kujua wanawake nini mnataka?

    Ukiona una waelewa wanawake ujue una kalibia kufa
Back
Top Bottom