tontouch
Member
- Dec 11, 2020
- 13
- 6
kweli ata ku trade forex kuna ela sema watu wana ogopa riskYaani ukiona biashara flani inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hiyo.
Hata kama ina hela bas ni vijihela
We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...
Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko
Uzi tayar