Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,315
- 8,750
Hongera mzee.. waache watoto wajione wana bahati kudate na watoto wazuri, kiuhalisia wanawake wazuri ni Pasua Kichwa.Wanawake wazuri kiasi hicho unachosema hua sio wa kudumu nao. Hao unachapa tu kipindi upo nae lakini ujue kabisa mda si mrefu mtaachana. Na ikifika kipindi cha kuachana pia usimng'ang'anie... muache aende zake utaepuka mengi.