Kama wewe unaishi vizur na mama yako shukuru mungu tu mzee. Lakini watu wanapitia mengi kama huja tembea au kuwa mtu wa watu na kujichanganya huwezi jua wala kuelewa.hizi mambo.
Salama wadau,
Kama kichwa kinavyo eleza. Nina footages nili shoot sasa baada ya kuzihamishia kwenye pc kuna baadh yakawa corrupted.
Video hazi play lakini ukicheck properties zinasoma nyingine 1.9gb nyingine 600mb
Kama unaweza kurevive hizo footages tuwasiliane 0742 037 876
Gati ni neno la kiswahili linalomaanisha sehemu iliyopo ndani ya endeo la mamlaka ya bandari ambapo meli inafunga/simama/paki na kuanza kushusha shehena. Kiingereza ni anchorage/berth..
NB: Na huwa kuna kuwa na kina kirefu sana cha maji..
Kilicho happen sina uhakika ila hiyo gati namba sifuri...
Nilipenda ile episode ambayo anapewa kazi ya kuwazuga walinzi wa ubalozi wa india ili wakina michael waingie ndani ya consulate kuona christina scofield ana enda kusuka mipango gani..
Baada ya kurudi kwenye appartment waliyopangiwa na na General kratz wanamkuta t-bag anajiosha vidonda...
Kama ndio mfano wa zile viagra... basi Hii inasaidia tendoni.. lakini si dawa ya kumaliza tatizo na inazidi kuua mishipa coz ina overdose work capacity na flow ya damu na oxygen ili mashine ifanye kaz ambayo kikawaida inashindwa kufanya..
Risky 2X
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.