Leo imetokea maeneno ya kariakoo mtaa wa omar londo na nyamwezi,kuna dalali katapeliwa nyeti zake na ugomvi ukazuka pale hadi police wa msimbazi wakafika na difenda kuja kuwabeba
Wewe huna akili,badala ya kumuunga mkono wife anayetafuta kazi ili asikae kizembe nyumbani ww unaona hafai,
Je angekuwa anachepuka ww si ungepiga na kuua maisha yenyew inaonekana huna lakin hutaki wife afanye kazi kuongeza kipato.jinga sana wewe
Kitu ambacho sikutemea nikwamba hata vijiji nlivyotembelea watu wanasema 9D itakuwa balaa zito yaan nizaid ya 29N hapo ndipo nikajua watanganyik wamechoka
Ccm wanapenda watu wenye akili matope kama yako,muda wote unawaza kula badala ya kutafakari namna ya kutengeneza mazingira ili kizazi chako kisiishi maisha kama yako .
9D tunaenda kudai haki kama siyo yako basi hata kizazi chako basi kifaidi matunda ya nchi hii nasio akina Abdul pekeyao
Picha kamili ni D9 ile ya MO29 ilikuwa kupasha misuli,hii ya D9 kinaenda kuumana mazima
Na ukizingatia watu wanapeana vyeo kifamilia basi hasira za kutoka zimeongezeka
Naimani watu walijifunza kitu tarehe 29,wao walienda kuandamana wenzao wakaja na risasi za kuwaua...imani yangu inaniambia huwezi fanya kosa mara mbili ushaona mwenzako alikuja kwania ya kukuua afu unapewa chance yapili ya kujiuliza eti unaenda tena ukiwa mikono mitupu hiyo najua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.