Recent content by tongblock

  1. T

    Rais Magufuli awaambia wananchi wa Morogoro wajifunze kuchagua

    Ndioo msigwa ataelewa amekosaa kias gn
  2. T

    Mbunge Peter Msigwa wa CHADEMA amsifia Rais Magufuli kwamba anajali vyama vyote

    Hats hvyo kuomba kwak msamaha n ukomavu kisiasa amejal hisiaa wa wanachama wake na chama chake
  3. T

    Mbunge Peter Msigwa wa CHADEMA amsifia Rais Magufuli kwamba anajali vyama vyote

    Umhm wa MTU na udhaifu wake huenda pmja ila namna ya kubalanc kulingana na wakati ugum ndioo huanziaa hapo ,mtihan msigwa alioushindwa
  4. T

    Mbunge Peter Msigwa wa CHADEMA amsifia Rais Magufuli kwamba anajali vyama vyote

    Hbr za asbh, nianze kwa kusema hakuna kauli anayoitoa mwanadamu bila sababu haijalishi sababu husika ni njema au mbayaa. Toka jana pamekuwa na lawama nyiingi saana dhidi ya mh Msigwa kwa kumsifiaa rais Magufuli kuhusu maendeleo ya Iringa, kiukwel kulingana na madai mengi ya upinzani dhidi ya...
  5. T

    Je baba anaweza kukiri kosa kwa mwanae?

    Habr za asbh , Imekua n vigumu San,kwa baadhi ya wazaz kufny kosa watoto wao nakuwez kulikiri,na huend hii iko kwa kila mzaz. Kama ilivvyovigumu kwa mzaz kukiri kosa kwa mwanae hivyo hvyo c rahsi kwa mtawala kukiri kosa mbel ya wananch wake waliompa dhaman. Nibora tukajua kua c kama...
  6. T

    Kama TISS wataamua kuwa wauaji, watekaji na watesaji, kuna kiongozi wa upinzani atasalimika?

    Na ww unauhakika gn unavyowatetea wakti mambo yao ni yasiri na hatakama wakitenda unadhan watakyja kukiri au unadhan tiss wao hawana upandee na waosio binadam na kama hawahusiki mbn matykio mengi sn ya ajabu yanayohusishwa na siasa mengi hatupati muafaka wao VIP suala LA ulmbok?VP suala LA been...
  7. T

    Faida za vibamia

    Poln Sent from my TECNO-M3 using JamiiForums mobile app
  8. T

    bunge la bajeti;Je bajeti ya 2017/ 018 kwa masilahi ya nani au unafiki?

    habr za asubuhi wapendwa Ni jambo lililo wazi kuwa bajeti ya nchi yoyote ile duniani hupangwa na serikali lakini wakuiridhia kuipitisha huwa ni wabunge ambao hao wote ni wawakilishi wananchi wao ambao mabosi wao. pamoja na hayo yote,utaratibu uliopo ni lazima kamati zikae za kila wizara...
  9. T

    Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali itaajiri walimu 4,000 wa Sayansi na Hisabati hivi karibuni

    alituambia ajra zinaanA septemba mwishow n kairuki akabadili upepo leo kaja na 4000 yakitoka utashangaaa maajab juz kairuki kasema kupitia the gardian kuwa wataajiri wote leo pm anasema sanaa msubri ip ni serkali iaminiwe?
  10. T

    Walimu wa arts mmekubali matokeo kirahisi

    Ajira zipo matamko ya nn huna update nn
  11. T

    Wakati wa mwisho ndo umewadia?

    of coz siku zimeenda ila tutakutw Tunashangaa tu muda umeisha san kristo ankuja ujasikia papa fransisi juzi alikuw N mkuu wa lutheran unabii ule unatimia kumbuka lutheran iliasi roma ila watakuja kurudi kwa mama yao ili 666 itimie vizuri tafta mtandao kitu kinaitwa obama martial law
  12. T

    Nataka kujifunza English

    am good at english language both american and british
  13. T

    Usajili UDOM 1st year ni kero kubwa

    kwan umewah kusoma vyuo vingap maana unadai nitofaut na vyuo vingine unaweza kutupa exprience
Back
Top Bottom