Wadau ni mara kadhaa napita hapo daraja jipya la Kurasini ambalo chini inapita treni.
Sasa mara kwa mara wakati wa foleni tunaposimama nikiwa ndani gari juu ya daraja hilo nahisi kama linacheza cheza mithiri ya kama limezidiwa uzito wa magari yaani mkisimama hapo na gari halafu upande mwingine...
Namshauri mtoa mada anunue spika zile za kutangazia sumu ya panya afunge juu kiasha arekodi tangazo la kuwajulisha watumia barabara wenzake kuwa niko kwenye mashindano kwa kurudia rudia ili wenzake wajue na atakae taka amjoin ndipo tutakapojua kama kweli passo inakimbia! Yani hiyo gari ambayo...
Naomba msaada ni vpn ipi ambayo ni compatible na IOS 9.3.6? maana kila.vpn nayojaribu kudownload inaniambia version yangu ya ipad haiko-compartible na niki-upgrade inasema iko up to date. Nifanyeje wataalam?
Na pia usipende sana kutumia chaja za kwenye magari au mabasi haya ya kisasa hizo chaja zinaua sana battery kuna watu wanapenda sana wakipanda tu mabasi na kuanza kuchomeka simu zao mi hua nawaangaliaa wanajiona wajaanja nawaacha kama walivyo ni bora utumie chaja hizo kwa simu za vitochi kuliko...
Kwa simu nyingi za android kuna feature ya one handed mode ambayo hata kama screen yako kubwa unaitumia hii na kuifanya screen kuwa ndogo ndani ya screen yako kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.