Recent content by TomondoT

  1. TomondoT

    Vyombo vya habari Tanzania vinatumika kuihujumu CCM?

    Mnatuliza magongo ya nini ikiwa mwenyewe umetuambia kuna nyoka ccm mtu mkubwa ukiwa unavailable nguo sharti uchutame sasa ccm mnavuliwa nguo mnasimama aibu tunaona sisi huku,, jamani
  2. TomondoT

    Rage funga redio yako, sio wote ni CCM

    Hakawii atawaita wana tabora mambumbu namjua huyo
  3. TomondoT

    Lowassa anasafishwa!

  4. TomondoT

    Magufuli kazi anayo

    utangoja sana mbona wagombea wengine walipokatwa Dodoma wamekimbilia kwenda kuwahonga watu majimboni wapigiwe kura za ubunge huwo sio umero wa madaraka msiongee kama mnafikilia kwa masabuli
  5. TomondoT

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Makala wacha wamgalagaze hana nidhamu huyo kanji bai analijua Hilo jimbo bora arudie
  6. TomondoT

    Lembeli: Ukitaka kuona 'nyeti' za kuku subiri apulizwe na Upepo

    Kawa mjinga alipohama chama tu angesalia ccm angekuwa si mjinga hv mnayosema mko na ufikili timamu kweli au kuvimbiwa
  7. TomondoT

    Ni lini CHADEMA umegeuka kuwa dhehebu la dini?

    Adui wa adui yako ni rafiki yako moja kwa moja nionavyo Mimi
  8. TomondoT

    Team Kanembwa tukutane hapa

    Maisha yamekuwa rahisi sana enzi zetu hakuna kujadiliana hapa wala kusoma hali ya uwanja ni kwenda msitari Wa mbele kweli mko kidigital sana
  9. TomondoT

    GE2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

    Kabla hamjaandika mngekuwa mnatuliza wana Arusha kwanza mnalopoka hadi mtamuhalibia huyo mgombea wenu lowasa anagombea uraisi hagombei ubunge na uraisi si Arusha pekee jomba in Tanzania nzima pili spidi ya rema arusha hata afufuke nyerere hawezi zima moto Wa
  10. TomondoT

    Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

    Duh kweli wamezidi bhana
  11. TomondoT

    Cocacola kubandika majina ya watu bila ruhusa/malipo, Jacline Wolper aomba wanasheria kuingilia kati

    Itachukuwa zaidi ya miaka 100 kumaliza hili tatizokweri
Back
Top Bottom