Mnatuliza magongo ya nini ikiwa mwenyewe umetuambia kuna nyoka ccm mtu mkubwa ukiwa unavailable nguo sharti uchutame sasa ccm mnavuliwa nguo mnasimama aibu tunaona sisi huku,, jamani
utangoja sana mbona wagombea wengine walipokatwa Dodoma wamekimbilia kwenda kuwahonga watu majimboni wapigiwe kura za ubunge huwo sio umero wa madaraka msiongee kama mnafikilia kwa masabuli
Kabla hamjaandika mngekuwa mnatuliza wana Arusha kwanza mnalopoka hadi mtamuhalibia huyo mgombea wenu lowasa anagombea uraisi hagombei ubunge na uraisi si Arusha pekee jomba in Tanzania nzima pili spidi ya rema arusha hata afufuke nyerere hawezi zima moto Wa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.