Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Wekeni raisi anayetetemeka muone matokeo yake.mtu mgonjwa mnalazimisha kutiana hasara kuanza kumtibu kwa hela ya walipa kodi.chadema huu ni upuuzi.
JF kama ndo ingekuwa inatoa raisi basi EL angekuwa keshaapishwa.
Wananchi kule waliko ndo wataamua who is the next President of JMT
Nimeikuta mahali UKIBISHA UNA MATATIZO Ndani ya CCM alipata wadhamini
870,000. Ndani ya CHADEMA amepata wadhamini
1,674,377 Jumla ya wadhamini (wanachama) ni
2,544,377. Hao ni wale wenye kadi za vyama vya
siasa waliojitokeza kumdhamini. CUF na NCCR mageuzi kwa ujumla wao
wana wanachama zaidi ya millioni 3. Ukiingeza hapo unapata kura zaidi ya
millioni 5 hivyo kuzidi idadi aliyoshinda
JK uchaguzi uliopita. Nimejifanya kama nimeyasahau makundi
kama 4u movement, team Lowassa, L4P,
Lowassa comred n.k ambao jumla yao ni
zaidi ya watu millioni 7. Hahahahaha, raha mtupu...... Wakijaribu kufunga kwa goli la mkono na
sisi atadaka mchezaji ambae sio golikipa. Safari ya matumain, inaendelea
Viva UKAWA 2015 nchi yenu hii.wadau tatizo la kupata bahati usiyoitegemea limeanza kuonekana ...magufuli hakujiandaa kwa lolote tumezoea kila anaegombea urais anakua amejipanga ila kwa huyu mgombea ni shida ni kama mshikwa pua vile hana anachojua zaid ya kusubir jk aseme nini au apange nini au chama jk mwenyewe kutwa kusafir nje ya nchi ..kila mwana ccm yupo busy na kura za maoni ...hili ni tatizo kubwa litakalomkumba magufuli na kushindwa mchana kweupeee...hana kitengo chochote zaid ya kusubir chama kimpangie nini cha kufanya ndio mana imekua rahis kupotezwa hata kwenye media
Hii nchi hatuwezi kumpa mgombea binafsi mwenye uchu wa madaraka aliyeuziwa chama na wafanyabiashara.Viva UKAWA 2015 nchi yenu hii.
wadau tatizo la kupata bahati usiyoitegemea limeanza kuonekana ...magufuli hakujiandaa kwa lolote tumezoea kila anaegombea urais anakua amejipanga ila kwa huyu mgombea ni shida ni kama mshikwa pua vile hana anachojua zaid ya kusubir jk aseme nini au apange nini au chama jk mwenyewe kutwa kusafir nje ya nchi ..kila mwana ccm yupo busy na kura za maoni ...hili ni tatizo kubwa litakalomkumba magufuli na kushindwa mchana kweupeee...hana kitengo chochote zaid ya kusubir chama kimpangie nini cha kufanya ndio mana imekua rahis kupotezwa hata kwenye media
wadau tatizo la kupata bahati usiyoitegemea limeanza kuonekana ...magufuli hakujiandaa kwa lolote tumezoea kila anaegombea urais anakua amejipanga ila kwa huyu mgombea ni shida ni kama mshikwa pua vile hana anachojua zaid ya kusubir jk aseme nini au apange nini au chama jk mwenyewe kutwa kusafir nje ya nchi ..kila mwana ccm yupo busy na kura za maoni ...hili ni tatizo kubwa litakalomkumba magufuli na kushindwa mchana kweupeee...hana kitengo chochote zaid ya kusubir chama kimpangie nini cha kufanya ndio mana imekua rahis kupotezwa hata kwenye media
Tena nashangaa sana watu walivyo wanafiki. Nyerere alisema wazi. Anayetoa hongo kuingia ikulu kwa udi na uvumba basi tumuogope kama ukoma. Leo baadhi yenu mnajidai kufumbia macho ufisadi kwa faida ya nani? Tumegundua ni kwa faida ya matumbo yenu. Mmenunuliwa kwa fulana, ahadi za vyeo na wengine bendera fuata upepo. Nchi hii haitaki fisadi anaekamia ikulu ili kujitajirisha yeye na rafiki zake. Tanzania amka. Mpe kura yako mpiganaji, jembe Magufuli.