Muongo mkubwa gamba wewe mimi ni mmoja wa waliompigia kura Selasini na cjapewa rushwabali nimependa utendaji wake refer serikali za mitaa.Pia hao wanaccm wanaoshangilia siwaoni su wewe upo rombo ipi?
mwaka huu hakuna rangi ambayo ccm wataacha kuiona.mimi npo dodoma kibiashara kwa hali ilivyo mwaka huu kwa mara ya kwanza chadema inaenda kutoa mbunge wa upinzani mana bensoni kigaila ambaye pia ni mtia nia jimbo la dodoma mjini kawapoteza ccm mazima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.