Sipat picha lowasa akiwa rais kuna watu kama:
.Vasco da gama wa msoga na mwanaye watafute makaz kabisa Autralia.
. Nape nnauye atafute nchi yake,
. Bwana makonda naona alilewa uDc sasa sijui atakimbilia wapi.
. Mwakyembe kaka ukajisajili kabisa malawi,
. Mzee wa kusafirisha twiga kwenye box utajuta kuacha jeshi na kukimbilia siasa.
======== = ==========
sasa hatar zaidi ni pale huyu mzee atakapo shindwa kushika urais:
Chadema andaen jeneza maana mzee atazimia gafla na kukata moto
. Chadema ndio itakuwa mwisho wa ushindan kwenye siasa za Tz
movement 4 change + safar ya matumaini + cuf ngangali + nccr mageuz + NLD= loading ........
kama hujaona si wewe,kapime machohao watu mbona mi nimezunguka sana siwaona wakimpongeza kwa hatua ya kwenda kuchukua fomu hiyo
Hii kitu itarushwa na tv yoyote jamani?
Mbona nilisikia Dr Slaa yupo Marekani?
Hatuamini katika kufukua makaburi...
Hivi kuna mwanachama mwingine wa CDM aliyechukua fomu ya kugombea urais?
Tafadhali.. Picha jamani
Mbona nilisikia Dr Slaa yupo Marekani?