Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,842
- 10,765
Hakika E.L amepata coverage kubwa kwa redio na runinga za kimataifa kwa kuweka historia ya kuwa kiongozi wa juu kukihama ccm na kujiunga na upinzani kwa mara ya kwanza.vilevile wamesema kuwa siasa ya Tanzania imekuwa na uenda ukawa ndio mwanzo kwa chama cha ukawa kushika dola.
Kwani ukawa ni chama?