BBC, DW, VOA, Aljazeera yamtangaza Lowassa dunia nzima

BBC, DW, VOA, Aljazeera yamtangaza Lowassa dunia nzima

Hakika E.L amepata coverage kubwa kwa redio na runinga za kimataifa kwa kuweka historia ya kuwa kiongozi wa juu kukihama ccm na kujiunga na upinzani kwa mara ya kwanza.vilevile wamesema kuwa siasa ya Tanzania imekuwa na uenda ukawa ndio mwanzo kwa chama cha ukawa kushika dola.

Kwani ukawa ni chama?
 
Habariii kutoka boooooooooon.Aliyekuwaaaa waziri mkuuu mstaaafu wa Tanzania Mj Lowasaaaa amepiga tekeee chama chake cha sisieeemuuuuu na kujiunga na chademaaaaaa..hayo yanajiiiiri baada ya jina lakeeeee kukatwaaa kwenye kinyanyanuiro cha uraisiiiii..mimi ni umuuni khyeeeeirrrr
 
Hakika E.L amepata coverage kubwa kwa redio na runinga za kimataifa kwa kuweka historia ya kuwa kiongozi wa juu kukihama ccm na kujiungooa na upinzani kwa mara ya kwanza.vilevile wamesema kuwa siasa ya Tanzania imekuwa na uenda ukawa ndio mwanzo kwa chama cha ukawa kushika dola.

Kiongozi wa kwanza?!!! Ivi kweli upo serious? Mrema unamjua au umeshamfuta?

Lowasa anapoteza muda nchi hii hawezi shinda na cdm watajutia maamuzi. Believe me or not. Just stay tuned.
Wanachadema wote waliokuwa na nia ya dhati ya kupinga ufisadi they very very discouraged.
Mtatumia nguvu nyingi isiyo na mafanikio kuwaaminisha kweli ur a real figher.

Viongozi wao hawakutaget chama kinufaine zaidi wametanguliza manufaa yao ya mgao.

Uongozi wenu wameanza kula matapishi yao wenyewe.

Ni aibu kubwa.
Taarifa zilizopo mitaani wanachama wengi wanatangaza wengine kukihama chama na wengine hawataki tena kumsikiliza mwana siasa.

Kazi mnayo
 
Nina mashaka. Nachelea kusema unasema uongo. Ulikuwa Victoria, BC, Canada hapo Hapo ukawa Anchorage, Alaska. Kwa vipi. Watu washangilie mpaka polisi waongoze maandamano????? Hao watu wengi kiasi gani!!!! Halafu hiyo miji ina Watanzania wachache sana. Kwa vipi mji mzima ushangilie? Mbona sikusikia Nairobi au Kampala mji mzima umerindima? Hata Dar watu walizungumza lakini mji haukurindima kiasi hicho.
 
hadi dodoma magamba wapofichaga hirizi zao kila mtu EL!
 
Peace Tv ya Iran pia walionyesha, na kusema UPINZANI thru Lowassa Ukawa, inaelekea kushinda uchaguzi for the first time in Tanzania in the coming October election..

Yaani Lowassa went viral, globally, in just an hour, yaani kweli mabadiliko yamefika...!!!

CCM watajutia milele na milele ...
 
...ukumbuke na yeye pia amehama na wana ccm wengi tu....kikubwa ni mabadiliko hata kama hatachukua isipokua ukawa basi uwakilishi bungeni utakuwa mkubwa amin usiamini....
 
Taarifa zilizopo mitaani wanachama wengi wanatangaza wengine kukihama chama na wengine hawataki tena kumsikiliza mwana siasa.

Kazi mnayo

Wakiondoka wanachama 6 yy akaja na wanachama 24 kuna shida gani?

Mabadiliko ni dhahiri yanaumiza kama hukujipanga, wahi kujipanga!
 
On today's news the Killing of Cecil the lion by an american dentist which took place in Zimbabwe national park has more coverage and condemnation than what is transpiring in Tanzania politics, labda wazungu washajua mbio za sakafuni tu hizi.

Hujaelewa somo. The issue sio "the killing of a lion".The issue ni Zimbabwe authorities are holding an American Citizen thats the issue my brother. Who give a damn about a lion.
 
Back
Top Bottom