Kwa wenzetu inawezekana tena wako well organized lakini serikali ikigundua Tu mnafanikiwa kupata inatia mikono Yake na kuanza kunusa nusa...
Hii ishu inahitaji muda na Pesa ya kutosha Sana pamoja na Elimu ya kina mno ya mambo kale, lazima muwe na timu ya watu wataalamu au wanaojua vitu vingi...
Lugha inataka upate mtu wa Kuongea nae au sehemu ya Kuongea kidogo hata kama utaongea na AI, ni kama hesabu bila kufanya maswali yake kama mazoezi huwezi kufaulu...
Lakini hata hivyo ina maana kweli kabisa Huna hata Akiba kidogo Tu ya lugha ya kiingereza iliyobaki kichwani mwako?, maana isije...
Kuna Yule Jamaa wa wamachinga barabarani anajiita chiwa duu Baba la Baba orijinali, ana viwembe ambavyo ukinyoa unasikia Raha kama vile umepanda ndege, ana wanja ukipaka unakuwa kama Beyonce, sasa promotion za Aina hii tunaonekana ni jamii isiyojitambua kabisa....
Nyerere alitufelisha Sana Tu halina ubishi, madhara ya kujikuta ww ndio Una akili nchi nzima ndio Yale, Haiwezekani ukawa ww Tu ndio ujione Una akili Sana... Kiswahili na kujitahidi kutuunganisha alifanikiwa kiasi kikubwa, nje ya hapo alifeli pa kubwa kwenye uchumi na Siasa....Kazi ipo sasa hivi...
Kila mmoja ana njia Yake kwenye haya maisha...kuna ule Msemo unaosema "Jiwe walilolikataa waashi Leo ndio limekuwa Jiwe kuu", mzazi usiingie kwenye mtego wa huu msemo maana utakuja kukutoa nishai baadae na kijana ataku prove wrong na utabaki na majuto halafu sasa kijana hatosahau ulivyokuwa Unam...
Mm naona imekaa vizuri, kama upendo umekwisha na kuviziana kumekuwa kwingi kwanini uteseke?, ni Bora muachane Kila mmoja afuate ustaarabu wake, yaani mnaishi chumba kimoja hamuelewani bado mmegandiana Tuu sasa huo si ujuha?.
kwanini muendelee kuishi kinafki ilihali hamtarajii kuelewana huko...
Wao Saudi Arabia wanazalisha kiasi gani cha ngano na Sisi tunazalisha kiasi gani?....Tuna mazingira mazuri Sana ya kuzalisha Hili zao japo Saudia pesa wanazo, Bila kutafuta takwimu nahisi Saudi Arabia wametupita kwenye kuzalisha Hili zao....Wizara ya Kilimo wao kazi Yao sijui huwa ni nini, kile...
Vijana inabidi wapewe nafasi kuonesha uwezo wao, huwa tunawabania vijana Kwasababu za hovyo kabisa, kama kijana ana uwezo kwanini asipewe nafasi ya kuonesha uwezo wake??....Tuna mizee ya hovyo Sana nchi hii isiyotaka kuwapa vijana wenye uwezo nafasi, vijana inabidi wajengewe uwezo waweze...
Hata Hapa bongo wasanii wengi Sana wameanza wakiwa wadogo kabisa, kwenye filamu pia ni hivyo hivyo. Kwa Tasnia nyingine ni kwamba mifumo inatuchelewesha Tu, serikali imeweka mazingira Fulani magumu Kwa kujua au kutokujua, kijana 25 majuu hata uelewa wake ni tofauti na mtu wa miaka 30 Hapa...
Hebu tuchukulie Leo unaambiwa na viongozi wako wakuu wa kidini duniani kuwa tuliwadanganya Tu hivyo basi hakuna dini jamani hakuna dini, hivyo Kila mtu sasa aishi Huku akijua dini hakuna!...
Mtu akiwa mjinga ni lazima umewekee chombo cha kumdhibiti asiendeleze ujinga ukawa ni upumbavu, kuwekewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.