Recent content by TOGOLA

  1. T

    JamiiForums Tanzania Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4 Agosti, Tumeshamsahau tayari.

    Watajua wenyewe na familia zao maana ni CCM wenyewe Kwa wenyewe, wala haina haja kujua hao wanajuana.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Michango ya Harusi Single 100,000 na Dabo 150,000, watu wanaumia kimoyomoyo!

    Nafikiri ni jukumu la mtoaji Kusema dhahiri kuwa sitaweza kutoa, kukubali kujumuishwa au kutoa ahadi ya mchango wa harusi si Jambo la kiume ikiwa ww hupendelei kutoa mchango...Kama unaogopa basi usitoe ahadi yoyote Ile, maana wanasema kuwa sometimes bongo bila unafiki mambo hayaendi
  3. T

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Majambazi wapora fedha na kumuua wakala

    Hao ni vibaka, kwahiyo hapo watu watano mgao ni 60,000 na simu watauza bei ya hovyo, probably mgao wote Kwa ujumla Kwa Kila mtu hauzidi 100,000, kmmke hata kama ni njaa hiyo imezidi, siyo Kwa expense ya uhai.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Ni bora kukomaa hapahapa Tanzania mungu atajaalia, kila nikiwaangalia wanao rudi kutoka Afrika Kusini, nachoka kabisa

    Halafu zile video wanazowachukua Airport ndio kabisa, kuna watu wamechizika kabisa na wezi wanakwenda kuongezeka Dar maana hakuna namna wale wataenda kufanya kazi za Halali, ni mateja kabisa unawaona wale...Wale Jamaa Airport wengi wamerudi na begi na nguo mbili tatu na midomo iliyooza, yaani...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    Usimuoe, kuweni kama marafiki tu...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Anayemjua Rose atupe taarifa zake Kwanza!, bila Shaka wale ni Askari Kwa Hali hii tutakuwa kama Marekani sasa Kwa watu kupotea bila kujulikana wako wapi.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Based ON True story

    Mbona vitu vya kawaida tu hivyo, tena mida ya usiku ndio balaa, hasa usiku mnene, ukiwa ni mtembeaji wa usiku mkubwa kuwa makini kidogo na viumbe Hai unaokutana nao njiani...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Carry Mastory Avujisha Sauti ya Hamisa Mobetto Kuhusu Baba Mzazi wa Mtoto Wake (Dylan)

    Si wakapime DNA nchi za nje huko ili kuondoa utata.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Naona huu ukweli uliobayana kuwa, "BINADAMU ALIKUWA NA MKIA WA NYUMA", unapotezewa sana 😎

    Kuna Conspiracy Fulani hivi inasema kuwa Reptilian beings na Human Race from Lyra star system waliingia makubaliano ya kumuumba mtu ambaye ana sifa zao, Part reptile and part Lyra... Sehemu ya reptile ilikuwa ni kwaajili ya Ku survive ili kuishi hata kwenye mazingira magumu kama ilivyo sifa ya...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Mwanaume unanunua nguo maalumu za kulalia ili iweje?

    Kwahiyo wanaume tulale na makorodani yetu yakiwa wazi?, Yaani umepigika kwenye Jua Kali na joto hata nguo nyepesi usiwe nayo ukilala, hicho kitu sifanyi Kwanza wanaume suruali moja unaweza kuvaa hata siku tatu, unaweza hata ukapiga bao usingizini na nguo ukachafua....mara nyingine ugumu au shida...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2019/2020 Ungemwambia Polepole kwamba ikifika mwaka 2026 kutakuwa na Free Polepole angekubishia kabisa

    Mimi sionei huruma mtu yoyote aliyeshiriki kwenye mauaji ya watu au mateso ya watu, huo unafiki Mimi Sina kabisa kabisa...
  12. T

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI ZA KUCHUKUA UNAPOKWENDA KUOGELEA BWAWANI AU BAHARINI

    Lazima ujijue uwezo wako wa kuogelea upoje, kama uwezo ni maji magoti au Kiuno ishia hapo hapo na kama hujaogelea miaka mingi Anza Maji madogo...Kuna maji Fulani unakuta yametulia ni hatari Sana, miaka hiyo tulimzika mtu ambaye ni mtaalamu wa kuogelea kwenye maji ya Aina hii, tulichukulia Yale...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Mapya yaibuka, Mali za Gertrude Rwakatare. Watoto wake waingia kwenye mgogoro mzito

    Mali zinarudi zilipotoka.
  14. T

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Beki zile Tia maji Tia maji...Maguire kuna wakati anakuja anakataa, Shaw ni kama karoga vile na hata hivyo yeye ndio ana afadhali, Yule Dorgu physically Yuko fiti ila kuna maamuzi anaweza kufanya kama vile Hana Ubongo, Lisandro Martinez ni Beki mzuri hasa akiwa na mpira mguuni, Yaani Kwa EPL...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Barcelona usajili wa Gabriel Jesus mbovu

    Kati ya wachezaji wenye vipaji vikubwa Sana basi ni huyu Jesus, Majeruhi ndo yamemuumiza...Yaani ukizungumzia namba Tisa anayejua mpira basi huyu Jamaa naye yumo, ukiamuangalia ana vionjo Kwa mbaali Sana vya De Lima....Kusema kweli yeye na Julian Alvarez ni namba Tisa za kisasa kabisa, Kwa jinsi...
Back
Top Bottom