Recent content by TOGOLA

  1. T

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kuona msako wa mali za kale kama rupia, mabirika, pasi, vijiko na Mercury?

    Kwa wenzetu inawezekana tena wako well organized lakini serikali ikigundua Tu mnafanikiwa kupata inatia mikono Yake na kuanza kunusa nusa... Hii ishu inahitaji muda na Pesa ya kutosha Sana pamoja na Elimu ya kina mno ya mambo kale, lazima muwe na timu ya watu wataalamu au wanaojua vitu vingi...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Lugha inataka upate mtu wa Kuongea nae au sehemu ya Kuongea kidogo hata kama utaongea na AI, ni kama hesabu bila kufanya maswali yake kama mazoezi huwezi kufaulu... Lakini hata hivyo ina maana kweli kabisa Huna hata Akiba kidogo Tu ya lugha ya kiingereza iliyobaki kichwani mwako?, maana isije...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Makwaliti, matelephone ma sijui nini elewa hapo inauzwa bidhaa feki

    Kuna Yule Jamaa wa wamachinga barabarani anajiita chiwa duu Baba la Baba orijinali, ana viwembe ambavyo ukinyoa unasikia Raha kama vile umepanda ndege, ana wanja ukipaka unakuwa kama Beyonce, sasa promotion za Aina hii tunaonekana ni jamii isiyojitambua kabisa....
  4. T

    JamiiForums Tanzania Roho imeniuma Sana, unahangaika kuhonga Mwanamke wewe unatumia Samsung yeye anatumia iPhone 16 promax

    Wewe ni ATM Yake, hapo kuna Jamaa anapewa Kila angle na huyo binti...Binafsi Nina wivu mkubwa Sana na pesa zangu.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania tuko hivi? Ni laana gani?

    Roho Tu za kichawi hizo, inabidi uwe resilient kutoathiriwa na maneno ya watu, usiyumbishwe.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Hatukuwa tofauti sana na Singapore; kwanini Nyerere aliamua kujirundikia madaraka ya Urais ikawa kama ufalme?

    Nyerere alitufelisha Sana Tu halina ubishi, madhara ya kujikuta ww ndio Una akili nchi nzima ndio Yale, Haiwezekani ukawa ww Tu ndio ujione Una akili Sana... Kiswahili na kujitahidi kutuunganisha alifanikiwa kiasi kikubwa, nje ya hapo alifeli pa kubwa kwenye uchumi na Siasa....Kazi ipo sasa hivi...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Miaka kadhaa nyuma Usimkatie tamaa Mtoto/kijana wako?

    Kila mmoja ana njia Yake kwenye haya maisha...kuna ule Msemo unaosema "Jiwe walilolikataa waashi Leo ndio limekuwa Jiwe kuu", mzazi usiingie kwenye mtego wa huu msemo maana utakuja kukutoa nishai baadae na kijana ataku prove wrong na utabaki na majuto halafu sasa kijana hatosahau ulivyokuwa Unam...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Ukanda pwani kuoa na kuacha ni kama kumsukuma mlevi. Yaani mwanamke anaachika nakuolewa hata mara tano, kwao kawaida sana

    Mm naona imekaa vizuri, kama upendo umekwisha na kuviziana kumekuwa kwingi kwanini uteseke?, ni Bora muachane Kila mmoja afuate ustaarabu wake, yaani mnaishi chumba kimoja hamuelewani bado mmegandiana Tuu sasa huo si ujuha?. kwanini muendelee kuishi kinafki ilihali hamtarajii kuelewana huko...
  9. T

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tunaongozwa na watu waliokosa maarifa

    Wao Saudi Arabia wanazalisha kiasi gani cha ngano na Sisi tunazalisha kiasi gani?....Tuna mazingira mazuri Sana ya kuzalisha Hili zao japo Saudia pesa wanazo, Bila kutafuta takwimu nahisi Saudi Arabia wametupita kwenye kuzalisha Hili zao....Wizara ya Kilimo wao kazi Yao sijui huwa ni nini, kile...
  10. T

    JamiiForums Tanzania UMRI WA MIAKA 28 tayar mtu amekua msemaji wa white house na ameomba kuacha nafasi hiyo je TANZANIA chini ya 30 unaweza kua DIWANI?

    Vijana inabidi wapewe nafasi kuonesha uwezo wao, huwa tunawabania vijana Kwasababu za hovyo kabisa, kama kijana ana uwezo kwanini asipewe nafasi ya kuonesha uwezo wake??....Tuna mizee ya hovyo Sana nchi hii isiyotaka kuwapa vijana wenye uwezo nafasi, vijana inabidi wajengewe uwezo waweze...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mawasiliano na Taasisi Serikali zihakikishe namba za Simu, Emails walizoziweka kwa tovuti zao zinafanya kazi, hii ni aibu!

    Wapuuzi Sana, tena Mimi nikiona ana kitambi lazima tugombane kabisa, kitambi Kikubwa kazi ndogo.
  12. T

    JamiiForums Tanzania Kama 2PAC alikufa akiwa na miaka 25 basi wenzetu uko USA hupata fursa wakiwa wadogo sana

    Hata Hapa bongo wasanii wengi Sana wameanza wakiwa wadogo kabisa, kwenye filamu pia ni hivyo hivyo. Kwa Tasnia nyingine ni kwamba mifumo inatuchelewesha Tu, serikali imeweka mazingira Fulani magumu Kwa kujua au kutokujua, kijana 25 majuu hata uelewa wake ni tofauti na mtu wa miaka 30 Hapa...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Dini ilivumbuliwa pale tapeli wa kwanza alipokutana na mjinga wa kwanza

    Hebu tuchukulie Leo unaambiwa na viongozi wako wakuu wa kidini duniani kuwa tuliwadanganya Tu hivyo basi hakuna dini jamani hakuna dini, hivyo Kila mtu sasa aishi Huku akijua dini hakuna!... Mtu akiwa mjinga ni lazima umewekee chombo cha kumdhibiti asiendeleze ujinga ukawa ni upumbavu, kuwekewa...
Back
Top Bottom