Urafiki na madem mara nyingi hauna maana. Wana shida nyingi sana af sisi kama ME huwez mshirikisha shida zako
Pia nikurekebishe men are superior kwenu usipoliona hilo utakuwa unaona mazigaz
nakubaliana nawe 100% coz nilielewaga mapema i am introvert lakn baada ya kuanza kuhitajka kujitegemea na mazngira ya ajira za serikal yalivyo magum.na ktk kujiajir kuna kutafuta wateja inakubid uwe na shobo balaa ili utusue em imagine kaz kama kutembeza mitumba ,kupiga debe na kaz zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.