Recent content by Toffy_boy

  1. Toffy_boy

    Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

    Urafiki na madem mara nyingi hauna maana. Wana shida nyingi sana af sisi kama ME huwez mshirikisha shida zako Pia nikurekebishe men are superior kwenu usipoliona hilo utakuwa unaona mazigaz
  2. Toffy_boy

    All girls and ladies zingatia ushauri huu

    Ukweli mtupu.....mimi huwa naona kama nisingekuwa na hofu ya mungu na kuogopa magonjwa ni heri nikanunua wauzaji
  3. Toffy_boy

    Kufa masikini ni kujitakia! Kumbe fursa zipo!

    Ufugaj wenyewe una changamoto zake usidhan watu wanapenda umaskin mkuu Anyway ahsante kwa kutukumbusha
  4. Toffy_boy

    Natumia Blog kupata PESA. Hivi ndivyo ninavyopata VIEWS

    Tupe maarifa mkuu tujue makosa na mahala pa kukaza
  5. Toffy_boy

    Kabla hujamuoa mfanyie majaribio yafuatayo

    Kujua tabia ya mtu hakuhitaji yote hao. Kuigiza ni kaz kubwa sana fahamu hilo, ukikaa na mtu japo kwa muda mfupi tu utamuelewa
  6. Toffy_boy

    Wema Sepetu amrudia Mungu

    Hayo mawazo yako watu mnachanganya uislamu na uarabu. Hijab ni jambo halikuwahi kuwepo kwenye mila zao waarabu
  7. Toffy_boy

    Mtoto wa kiume anaelelewa na single mother kuna uwezekano mkubwa akawa "beta male"

    Ukiwaelezea akina Gamma na sigma unitag maana mm sijielewag bado
  8. Toffy_boy

    Hamisa Mobetto umekosea kuongea na waandishi JKIA

    nipm naona kama tunaendana sina makuu pia
  9. Toffy_boy

    Watu wanao heshima mitandaoni ni hawa?

    kuna vijana wamekariri namna ya kucomment kumbe sometimes wanadhihirisha uvivu wao
  10. Toffy_boy

    Wewe mwanachuo ukiwa Likizo unashinda ndani, hujichanganyi,ukimaliza chuo ndio yatakuwa maisha yako!

    nakubaliana nawe 100% coz nilielewaga mapema i am introvert lakn baada ya kuanza kuhitajka kujitegemea na mazngira ya ajira za serikal yalivyo magum.na ktk kujiajir kuna kutafuta wateja inakubid uwe na shobo balaa ili utusue em imagine kaz kama kutembeza mitumba ,kupiga debe na kaz zote...
Back
Top Bottom